Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, anafaa kuiongoza Tanzania.
Rais ana dhamira ya kweli ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania. Maisha bora yatachelewa lakini yatapatikana.
Rais Jakaya Kikwete ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Amewaruhusu watu wakosoe viongozi na wakosoaji wako huru kabisa.
Hii dhana ya kuwa huru kukosoa serikali inawaogopesha viongozi, hata kama ni marafiki zake Jk. Kwa hiyo JK ameruhusu UMMA kuwasulubu mafisadi.
JK ameruhusu mafisadi kusemwa hadharani na wananchi wanawajua na hivyo 2010 mafisadi hawataambulia kitu.
Na baada ya uchaguzi wa 2010 mafisadi wote wataondolewa kiaina, na viongozi wataogopa kufanya ufisadi. Kwa hiyo JK anajua hilo, na ni mbinu nzuri sana.
Heko JK, utashinda tena 2010 na utafanikiwa.
Rais ana dhamira ya kweli ya kuleta maisha bora kwa kila mtanzania. Maisha bora yatachelewa lakini yatapatikana.
Rais Jakaya Kikwete ameruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Amewaruhusu watu wakosoe viongozi na wakosoaji wako huru kabisa.
Hii dhana ya kuwa huru kukosoa serikali inawaogopesha viongozi, hata kama ni marafiki zake Jk. Kwa hiyo JK ameruhusu UMMA kuwasulubu mafisadi.
JK ameruhusu mafisadi kusemwa hadharani na wananchi wanawajua na hivyo 2010 mafisadi hawataambulia kitu.
Na baada ya uchaguzi wa 2010 mafisadi wote wataondolewa kiaina, na viongozi wataogopa kufanya ufisadi. Kwa hiyo JK anajua hilo, na ni mbinu nzuri sana.
Heko JK, utashinda tena 2010 na utafanikiwa.