Je, Rais Samia anaweza kuvunja rekodi ya Jakaya Kikwete ya kusafiri nje ya nchi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,764
218,380
Ilisemekana Rais wa Awamu ya 4 wa Tanzania Jakaya Kikwete ndiye kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo kushika usukani wa kusafiri zaidi kuliko viongozi wote wa nchi za kiAfrica, bado hatukupata lolote kuhusu rekodi yake kuvunjwa.

Tishio pekee alilonalo ni kutoka kwa Rais wa sasa wa nchi yake, Dkt Hangaya, unaambiwa huyu mama anasafiri kuliko hata vipimo vya K/M kwa saa, Taarifa zinaonyesha kwamba hata safari aliyopaswa kwenda DC au Katibu Kata bado atataka kwenda yeye.

Sasa swali letu ni hili Je, anainyemelea rekodi ya Kikwete?
 
Ukiona bandiko lolote ambalo source yake ni "Unaambiwa" ujue ni udaku tu wa kwenye vijiwe vya kahawa,

Nyie si ndio mlikua mnalalamika humu kua JPM hasafiri? Mbona hua hamjulikani mnataka nini hasa?

Ieleweke kua MImi sio shabiki wa hivyo vyama vya siasa bali nimeweka comment yangu kama mchangiaji huru.
 
Ilisemekana Rais wa Awamu ya 4 wa Tanzania Jakaya Kikwete ndiye kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo kushika usukani wa kusafiri zaidi kuliko viongozi wote wa nchi za kiAfrica, bado hatukupata lolote kuhusu rekodi yake kuvunjwa.

Tishio pekee alilonalo ni kutoka kwa Rais wa sasa wa nchi yake, Dkt Hangaya, unaambiwa huyu mama anasafiri kuliko hata vipimo vya K/M kwa saa, Taarifa zinaonyesha kwamba hata safari aliyopaswa kwenda DC au Katibu Kata bado atataka kwenda yeye.

Sasa swali letu ni hili Je, anainyemelea rekodi ya Kikwete?
Vipi Kamati Kuu yenu inakaa lini. Naona mmepoteana . 😁😁😁 Mmeanza kutafuta huruma
 
Hangaya hapoi kabisa ni Mwendo wa Kula mwewe tu hivi Mambo ya ndani anayajua vizuri kweli Kwa maana hawezi kukaa mwezi bila ya kukamata mwewe Kwa hili JK atakuwa cha mtoto na vile yupo hadi 2030 hakuna jinsi akatembeze bakuli ili wasaidizi wake wajipimie kisha zigo la madeni tutupiwe kwenye Kodi .
 
Waswahili kupenda kutembea ni tabia yao, wao wanapenda kukaa kwenye mikeka kupiga umbea na wakipata kanguvu kidogo wananyanyuka hapo wanaenda kuzurura popote, hata kama nyumba atakayokwenda alitoka huko jana, usishangae ukiona leo amerudi tena, ilimradi awe na umbea tu wakupeleka huko.
 
Ilisemekana Rais wa Awamu ya 4 wa Tanzania Jakaya Kikwete ndiye kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo kushika usukani wa kusafiri zaidi kuliko viongozi wote wa nchi za kiAfrica, bado hatukupata lolote kuhusu rekodi yake kuvunjwa.

Tishio pekee alilonalo ni kutoka kwa Rais wa sasa wa nchi yake, Dkt Hangaya, unaambiwa huyu mama anasafiri kuliko hata vipimo vya K/M kwa saa, Taarifa zinaonyesha kwamba hata safari aliyopaswa kwenda DC au Katibu Kata bado atataka kwenda yeye.

Sasa swali letu ni hili Je, anainyemelea rekodi ya Kikwete?
Kwa spidi hii atavunja. Ni mbovu na Hafai
 
Ilisemekana Rais wa Awamu ya 4 wa Tanzania Jakaya Kikwete ndiye kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo kushika usukani wa kusafiri zaidi kuliko viongozi wote wa nchi za kiAfrica, bado hatukupata lolote kuhusu rekodi yake kuvunjwa.

Tishio pekee alilonalo ni kutoka kwa Rais wa sasa wa nchi yake, Dkt Hangaya, unaambiwa huyu mama anasafiri kuliko hata vipimo vya K/M kwa saa, Taarifa zinaonyesha kwamba hata safari aliyopaswa kwenda DC au Katibu Kata bado atataka kwenda yeye.

Sasa swali letu ni hili Je, anainyemelea rekodi ya Kikwete?


Kwa ration za mda aliotawala keshavunja
 
Ilisemekana Rais wa Awamu ya 4 wa Tanzania Jakaya Kikwete ndiye kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo kushika usukani wa kusafiri zaidi kuliko viongozi wote wa nchi za kiAfrica, bado hatukupata lolote kuhusu rekodi yake kuvunjwa.

Tishio pekee alilonalo ni kutoka kwa Rais wa sasa wa nchi yake, Dkt Hangaya, unaambiwa huyu mama anasafiri kuliko hata vipimo vya K/M kwa saa, Taarifa zinaonyesha kwamba hata safari aliyopaswa kwenda DC au Katibu Kata bado atataka kwenda yeye.

Sasa swali letu ni hili Je, anainyemelea rekodi ya Kikwete?
Anaifungua nchi kwa kutembeza bakuli la ombaomba. Pengine analazimika kufanya hivyo kutokana na "frustrations" za kuongoza nchi iliyokuwa maskini kutokana na "dysfunction" ya rasilimali watu ya Watanzania wengi waliotopea katika lindi kubwa la ufukara na umaskini huku ikiwa imetamalaki utajili mkubwa wa rasilimali nyingine muhimu.
 
Back
Top Bottom