Rais anisukuma nipigane vita

Rais anisukuma nipigane vita


Sina haja ya wewe kuniamini maana mimi ni binadamu kama wengine, ila ninaamini utakubaliana na ninacho kisema baada ya kumaliza kukitenda.
Nakuakikishia stay tune and u W'll undastant what i'm talking about

Hopely utakuwa unatafuta haki ya dhulma aliyotendewa mwanao/nduguyo na nina imani njia ya haki itakupa majibu ya haki. Good luck
 
wewe ni mjinga sana, kwa hiyo unafurahi sana unapoona mwigulu anafanikiwa kuua watanzania wasio na hatia? Kwanza acha kutumia hata hilo jina Lizabon, watu wa pale lizabon hawana roho ngumu kama yako, wengi maisha yao ni magumu sana, ccm haija wasaidia cho chote.
Na kweli mkuu, watu wa Lizaboni hatupo hivyo, aache kabisa kutumia jina hilo anapoposti utumbo wake
 
Mkuu maji yaliyotulia ni ngumu kujua kina chake. Timbwili nililolianzisha Elerai ccm wote wanalijua, na kunidhuru wanaogopa maana Mbunge wangu nilishampa hii taarifa na polisi nilisharipoti. Sasa kwakuwa Nchimbi kapigwa chini hakuna aja tena ya mimi kuremba na ndio maana head title nimeandika "RAISI ANISUKUMA NIPIGANE VITA"
Sipigi tena vita baridi sasa nimeamua kujitupa on Batle ground.

Kama kweli unajua aliyemuua Mwanao na unaogopa kumchukulia hatua eti kwa sababu utauawa,Basi utakuja kufa Kifo kibaya zaidi ya cha Mtoto wako.
 
Mkuu hata gazeti la MAWIO la tar 26/12/2013 liliweka mawasiliano ya huyu mmoja wa wamiliki wa mtandao wa jamiiforums jinsi alivyokuwa akiwasiliana na Zitto,kwa ambao walibahatika kulisoma gazeti la MAWIO mtakubaliana na mimi ila nimesikitika mpaka waandishi wa habari wanaotakiwa kutoa habari bila ya upendeleo wamekuwa sehemu ya 'wahalifu'.

Ndio maana siku ile nilipokuwa nasambaza zile nukuhu za Mwampamba kutoka kwenye "Kilio cha Usaliti" ambazo zilikuwa zikimnukuu Mwampamba akieleza kuhusu mipango ya PM7 na kuelezea ushiriki wa Zitto, nikala BAN! Nilishangaa sana kufungiwa kwa sababu dhaifu kama ile! Maana kama kuna mahali ambapo Zitto alivuliwa nguo, basi ni kwenye waraka ule.
 
Kama kweli unajua aliyemuua Mwanao na unaogopa kumchukulia hatua eti kwa sababu utauawa,Basi utakuja kufa Kifo kubaya zaidi ya cha Mtoto wako.

Na kama aliyajua hayo mapema, wakati bado Mwigulu, muuaji wa mwanae bado yupo huko huko Arusha halafu akashindwa kumtawanya viungo wakati alikuwa karibu nae, basi kuna haja ya jamaa kwenda kufanyiwa kipimo cha jinsia. Tazama Wanaume walivyomalizana na yule Nyambaf wa Mwanza.
 
Mkuu maji yaliyotulia ni ngumu kujua kina chake. Timbwili nililolianzisha Elerai ccm wote wanalijua, na kunidhuru wanaogopa maana Mbunge wangu nilishampa hii taarifa na polisi nilisharipoti. Sasa kwakuwa Nchimbi kapigwa chini hakuna aja tena ya mimi kuremba na ndio maana head title nimeandika "RAISI ANISUKUMA NIPIGANE VITA"
Sipigi tena vita baridi sasa nimeamua kujitupa on Batle ground.

Ook, sasa labda nikuulize swali.
Wewe umeamua kuingia kwenye battle ground kwa sababu mtoto WAKO TU( nielewe vizuri) alikufa??
 
Na kama aliyajua hayo mapema, wakati bado Mwigulu, muuaji wa mwanae bado yupo huko huko Arusha halafu akashindwa kumtawanya viungo wakati alikuwa karibu nae, basi kuna haja ya jamaa kwenda kufanyiwa kipimo cha jinsia. Tazama Wanaume walivyomalizana na yule Nyambaf wa Mwanza.

Mimi nashangaa analeta Porojo wakati Muuaji wa Mtoto wake anamjua.Hata Mtoto wake huko aliko anajilaumu kwa nini amezaliwa na Baba mwoga kiasi hiki.
 
Ook, sasa labda nikuulize swali.
Wewe umeamua kuingia kwenye battle ground kwa sababu mtoto WAKO TU( nielewe vizuri) alikufa??

Tena amechelewa sana.Alitakiwa alianzishe palepale Bomu lilipolipuka na kumuua Mwanae.Hata Vitabu vitakatifu vinasema AUAYE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGA.
 
Mkuu,

Simamia ukweli haki itendeke kwa Nchemba. Tanzania haiwezi kuendeshwa kinyama namna hiyo. Ninachokijua, hata kama haki haitapatikana mahakama, hukumu itokayo juu itatosha kwa ilo Li-Savimbi.
Japo ni huzuni ila hapo kwenye red nimecheka sana. Pole muathirika.
 
Asante mkuu kwa maneno yako yenye ujasiri, pia nataka nijadiliane na mwanasheria wangu niangalie kama nitaweza kuviandikia vyombo vya habari kama ITV, STAR TV, CHANEL 10 nk, ili nifanye press kala ya kulifikisha hili swala mahakamani.
Kama unauhakika wape hiyo issue TANZANIA DAIMA,,,,,,wataikomalia kama issue ya Kapuya.
 
mkuu unamuomba rais aunde tume wakati yeye ndiye aliyewatuma kufanya kampeni chafu dhidi ya CHADEMA,
ila pia mwenyekiti wa CHADEMA lazima afanye kitu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, hili suala ni nyeti na halivumiliki hata kidogo
 
Back
Top Bottom