Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
- Thread starter
- #161
wewe ndio urudi kusoma. Mtu anaandika aliona gari aina toyota vx na v8 kwa nini asiweke hata namba ya gari.
ok mliozoea kuburuzwa endeleeni.
Non sense
wewe ndio urudi kusoma. Mtu anaandika aliona gari aina toyota vx na v8 kwa nini asiweke hata namba ya gari.
ok mliozoea kuburuzwa endeleeni.
Sina haja ya wewe kuniamini maana mimi ni binadamu kama wengine, ila ninaamini utakubaliana na ninacho kisema baada ya kumaliza kukitenda.
Nakuakikishia stay tune and u W'll undastant what i'm talking about
Na kweli mkuu, watu wa Lizaboni hatupo hivyo, aache kabisa kutumia jina hilo anapoposti utumbo wakewewe ni mjinga sana, kwa hiyo unafurahi sana unapoona mwigulu anafanikiwa kuua watanzania wasio na hatia? Kwanza acha kutumia hata hilo jina Lizabon, watu wa pale lizabon hawana roho ngumu kama yako, wengi maisha yao ni magumu sana, ccm haija wasaidia cho chote.
kwa wale mnaopenda kusemasema watu pembeni.mada kama hii ndio inawafaa
Mkuu maji yaliyotulia ni ngumu kujua kina chake. Timbwili nililolianzisha Elerai ccm wote wanalijua, na kunidhuru wanaogopa maana Mbunge wangu nilishampa hii taarifa na polisi nilisharipoti. Sasa kwakuwa Nchimbi kapigwa chini hakuna aja tena ya mimi kuremba na ndio maana head title nimeandika "RAISI ANISUKUMA NIPIGANE VITA"
Sipigi tena vita baridi sasa nimeamua kujitupa on Batle ground.
Mkuu hata gazeti la MAWIO la tar 26/12/2013 liliweka mawasiliano ya huyu mmoja wa wamiliki wa mtandao wa jamiiforums jinsi alivyokuwa akiwasiliana na Zitto,kwa ambao walibahatika kulisoma gazeti la MAWIO mtakubaliana na mimi ila nimesikitika mpaka waandishi wa habari wanaotakiwa kutoa habari bila ya upendeleo wamekuwa sehemu ya 'wahalifu'.
Kama kweli unajua aliyemuua Mwanao na unaogopa kumchukulia hatua eti kwa sababu utauawa,Basi utakuja kufa Kifo kubaya zaidi ya cha Mtoto wako.
Mkuu maji yaliyotulia ni ngumu kujua kina chake. Timbwili nililolianzisha Elerai ccm wote wanalijua, na kunidhuru wanaogopa maana Mbunge wangu nilishampa hii taarifa na polisi nilisharipoti. Sasa kwakuwa Nchimbi kapigwa chini hakuna aja tena ya mimi kuremba na ndio maana head title nimeandika "RAISI ANISUKUMA NIPIGANE VITA"
Sipigi tena vita baridi sasa nimeamua kujitupa on Batle ground.
Na kama aliyajua hayo mapema, wakati bado Mwigulu, muuaji wa mwanae bado yupo huko huko Arusha halafu akashindwa kumtawanya viungo wakati alikuwa karibu nae, basi kuna haja ya jamaa kwenda kufanyiwa kipimo cha jinsia. Tazama Wanaume walivyomalizana na yule Nyambaf wa Mwanza.
Ook, sasa labda nikuulize swali.
Wewe umeamua kuingia kwenye battle ground kwa sababu mtoto WAKO TU( nielewe vizuri) alikufa??
Tena amechelewa sana.Alitakiwa alianzishe palepale Bomu lilipolipuka na kumuua Mwanae.Hata Vitabu vitakatifu vinasema AUAYE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGA.
Ook, sasa labda nikuulize swali.
Wewe umeamua kuingia kwenye battle ground kwa sababu mtoto WAKO TU( nielewe vizuri) alikufa??
Ook, sasa labda nikuulize swali.
Wewe umeamua kuingia kwenye battle ground kwa sababu mtoto WAKO TU( nielewe vizuri) alikufa??
Japo ni huzuni ila hapo kwenye red nimecheka sana. Pole muathirika.Mkuu,
Simamia ukweli haki itendeke kwa Nchemba. Tanzania haiwezi kuendeshwa kinyama namna hiyo. Ninachokijua, hata kama haki haitapatikana mahakama, hukumu itokayo juu itatosha kwa ilo Li-Savimbi.
Kama unauhakika wape hiyo issue TANZANIA DAIMA,,,,,,wataikomalia kama issue ya Kapuya.Asante mkuu kwa maneno yako yenye ujasiri, pia nataka nijadiliane na mwanasheria wangu niangalie kama nitaweza kuviandikia vyombo vya habari kama ITV, STAR TV, CHANEL 10 nk, ili nifanye press kala ya kulifikisha hili swala mahakamani.
UOGA ndiyo DHAMBI KUBWA NA MBAYA KULIKO ZOTE !
UOGA ndiyo DHAMBI KUBWA NA MBAYA KULIKO ZOTE !
Hili nalo ni swali?