MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Leo Krav Maga nipo Kiuchumi (Kiubahili) zaidi hivyo nawataka Political and Economic Pundits wa JamiiForums hapa mnidadavulie Kiundani ili nijue nani anauharibu Uchumi na nani pengine ndiyo anaukuza Uchumi.
Na tafadhali mtakaokuja Kunichambulia (Kunidadavulia) hapa mnipe Gharama ya Mafuta ya Ndege in Miles ikiwa Angani na Tozo za Ndege kwa Kuruka mara kwa mara na mpaka Parking Fee huko inakotua kila mara.
Na wale mtakaokuja Kunidadavulia (Kunichambulia) kuhusu Gari za katika Misafara mnipe Gharama za Mafuta, Matengenezo ( Services ) zake na uharibifu wa Kimazingira katika njia ambazo pengine huwa zinapita.
Mwishoni mwenyewe Kimoyomoyo tu nitaihitimisha kati ya anayependa Kusafiri sana na Ndege na Yule anayependa Kusafiri na Gari nani ana Faida Kubwa ya Kubana Matumizi ya Pesa za Walipa Kodi wa Taifa husika ( siyo Tanzania ) na nianze Kumpongeza.
Na tafadhali mtakaokuja Kunichambulia (Kunidadavulia) hapa mnipe Gharama ya Mafuta ya Ndege in Miles ikiwa Angani na Tozo za Ndege kwa Kuruka mara kwa mara na mpaka Parking Fee huko inakotua kila mara.
Na wale mtakaokuja Kunidadavulia (Kunichambulia) kuhusu Gari za katika Misafara mnipe Gharama za Mafuta, Matengenezo ( Services ) zake na uharibifu wa Kimazingira katika njia ambazo pengine huwa zinapita.
Mwishoni mwenyewe Kimoyomoyo tu nitaihitimisha kati ya anayependa Kusafiri sana na Ndege na Yule anayependa Kusafiri na Gari nani ana Faida Kubwa ya Kubana Matumizi ya Pesa za Walipa Kodi wa Taifa husika ( siyo Tanzania ) na nianze Kumpongeza.