Natazama sherehe za kuuzima mwenge hapa TBC1 kule Shinyanga.
Rais alipokabidhiwa mwenge na Capt. Honest Erenest Mwanosa, aliushika huku mkono wa kulia ukiwa chini, wa kushoto juu, wakati kinyume chake ndo utaratibu.
Je, ni kuwa hajui utaratibu au kasahau?
Najua mwenge kwa wengi wetu kwa sasa ni jambo la kipuuzi, ila nimeguswa na Rais kukiuka utaratibu.
Rais alipokabidhiwa mwenge na Capt. Honest Erenest Mwanosa, aliushika huku mkono wa kulia ukiwa chini, wa kushoto juu, wakati kinyume chake ndo utaratibu.
Je, ni kuwa hajui utaratibu au kasahau?
Najua mwenge kwa wengi wetu kwa sasa ni jambo la kipuuzi, ila nimeguswa na Rais kukiuka utaratibu.