Rais anapokosea kuushika mwenge!

JKAnasema sasa hivi kuwa'' UKIMWI NI UGONJWA WA KUJITAKIA"......LIVE TBC Je anafikiri wote wanaoumwa ukimwi wamejitakia?
Hajui alinenalo. kuna watu wengi tu hasa watoto wameambukizwa na wazazi wao hawakujitakia. wapo akina mama wengi tu wameambukizwa na waume zao wakati wenyewe ni waaminifu kwenye ndoa zao.wapo waliojitakia kweli lakini katika hafla kama ile kauli kama hiyo inawasononesha wengi badala ya kuwatia nguvu.
 
avatar21284_3.gif


Honestly to the majority of us, it does not matter, kwangu ingebidi hata autupe ni sawa tu, acha hilo la kuushika vibaya. Unatumia hela zetu bure na kuongeza maambukizi tu ya ukimwi!

Itakuwa na maana vipi kama ideal idea ya mtu kama huyu ni kama alivyo.
Kama mtu hajielewi itakuwaje sembuse mwenge, cheapest idea ni kuifananisha na ukimwi!
 
Makubwa! Kumbe nyie magamba mna jinsi yenu ya kushika mwenge? Kumbe asingekuwa Rais wangempiga risasi kwa "kunajisi" alama ya taifa?
 
Ni kusahau tu......hata mark time keshasahau kitambo na huku yeye ni mjeshi........left ...... right..........wrong

Tatizo ukiwa mtu wa madili basi ni rahisi kusahau mambo yasiyoleta pesa

canada+and+jk2.jpg
 
Natazama sherehe za kuuzima mwenge hapa TBC1 kule Shinyanga.
Rais alipokabidhiwa mwenge na Capt. Honest Erenest Mwanosa, aliushika huku mkono wa kulia ukiwa chini, wa kushoto juu, wakati kinyume chake ndo utaratibu.
Je, ni kuwa hajui utaratibu au kasahau?
Najua mwenge kwa wengi wetu kwa sasa ni jambo la kipuuzi, ila nimeguswa na Rais kukiuka utaratibu.

Ishekuwa mazoea naona

IMG_9872.JPG


mwenge.jpg


m8.jpg


Lakini ona KAMANDA orijino (hapa kabla hawajaupunguzwa mpini urefu ili usiwe mzito kwa malegelege)

4676287.jpg


Mama yetu naye hajasahau

4.png
 
Natazama sherehe za kuuzima mwenge hapa TBC1 kule Shinyanga.
Rais alipokabidhiwa mwenge na Capt. Honest Erenest Mwanosa, aliushika huku mkono wa kulia ukiwa chini, wa kushoto juu, wakati kinyume chake ndo utaratibu.
Je, ni kuwa hajui utaratibu au kasahau?
Najua mwenge kwa wengi wetu kwa sasa ni jambo la kipuuzi, ila nimeguswa na Rais kukiuka utaratibu.

mwenge.jpg
+

mwenge.jpg
 
Angeushika mwenge huku mkono wa kulia uko juu na kushoto chini, halafu kumpa mkono wa pongezi kapteni Ernest kwa kutumia mkono wa kulia, ina maana angekuwa amebakiwa kuushika mwenge upande wa chini kwa mkono mmoja wa kushoto usio na nguvu, na mwenge ungekosa balance na kuanguka au kumuangukia rais kabisa! Nadhani JK alikuwa sahihi, hata kama ni kinyume na taratibu za gwaride la mwenge.

Basi hao walioweka huo utaratibu akili zao hazina akili
 
teh teh duh, safi sana, mzee kasahau kabisa mambo ya jeshi!

Ni kusahau tu......hata mark time keshasahau kitambo na huku yeye ni mjeshi........left ...... right..........wrong

Tatizo ukiwa mtu wa madili basi ni rahisi kusahau mambo yasiyoleta pesa

canada+and+jk2.jpg
 
Mheshimiwa naona NI "left handed"yaani yeye Mkono wa kushoto ndio uko active kuliko wa kulia, Kama tulivyo wengi. Angelia hata saa na Pete ya ndoa viko mkono wa kulia. Atakuwa anapata tabu sana kufuata culture ya mkono wa kulia na kushoto. Mfano kula, kuandika, kutawa..... N.K.

NI maumbile ndugu zangu si uzembe.
 
Mheshimiwa naona NI "left handed"yaani yeye Mkono wa kushoto ndio uko active kuliko wa kulia, Kama tulivyo wengi. Angelia hata saa na Pete ya ndoa viko mkono wa kulia. Atakuwa anapata tabu sana kufuata culture ya mkono wa kulia na kushoto. Mfano kula, kuandika, kutawa..... N.K.

NI maumbile ndugu zangu si uzembe.

Kama ni left handed, si kosa lake, inaeleweka.
Lakini kama si left handed, KACHEMKA!
 
Njia za maambukizi ni pamoja na yale ya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na matumizi ya vifaa vyenye ncha kali vilivyotumiwa au kuambukizwa na yule mwenye virusi kisha kutumiwa na mwingine asiye na virusi.
Je haya maambukizo katika mazingira haya ni ya kujitakia?
Raisi hana taarifa kamili.
Je anajua wenye virusi wananyweshwa ARV 'fake'?

kweli mkuu makene pia njia ya mtu mzima kubakwa na muathirika, kwenye ndoa, mwanandoa muaminifu anaambukizwa na mwanandoa asiye mwaminifu,daktari anaambukizwa kwa kutumia zana duni kumhudumia mgonjwa, wanafamilia wanaambukizwa kwa kumhudumia mgonjwa bila kuwa na vifaa au elimu ya kutosha ya namna ya kuhudumia wagonjwa wa ukimwi YOTE HAYA NI KUJITAKIA?? HATUNA RAIS TUNA MSANII NDANI YA IKULU!
 
images



Natazama sherehe za kuuzima mwenge hapa TBC1 kule Shinyanga.
Rais alipokabidhiwa mwenge na Capt. Honest Erenest Mwanosa, aliushika huku mkono wa kulia ukiwa chini, wa kushoto juu, wakati kinyume chake ndo utaratibu.
Je, ni kuwa hajui utaratibu au kasahau?
Najua mwenge kwa wengi wetu kwa sasa ni jambo la kipuuzi, ila nimeguswa na Rais kukiuka utaratibu.
 
Yaani mwenge unapita kuzindua sehemu vi miradi vidogo vidogo wakati gharama za kuukimbiza zinazidi miradi yenyewe
Oooops
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom