Mkuu Nduka, ukienda kwenye mnada wa hadhara, kama hicho kitu unakitaka wewe, utakwewnda na timu 3. Timu moja ni ya kwako mwenyewe, timu nyingine ni ya kuwakimbiza serious contenders wote kwa kila atakayeku outbid, mtu wako atamfurusha kwa ku bid very high hadi mwisho wa siku, the highest bidder ni mtu wako, the second highest pia ni wako na wewe ndio the 3rd.
Wakati wa kulipa, the ist and the 2nd watafanya no show, ili mzigo uangukie kwako!.
Kwa wanaozijua siasa za nchi hii, JM na EL ni kambi ile ile sponsored by "the King Maker!", kuna watu niliwaeleza humu tangu mwanzo, kuna watu ni just "pace makers" na kina Yohana Mbatizaji tuu, wakiyanyoosha mapito ya "the chosen one!", hawakunielewa!, labda sasa wataelewa kwamba "that is what is the name of the game!", na kujua "the games people play!", "plays our minds away!".
Pasco