Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Naami akikaa kafiri kwenye urais waislam watapata misukosuko mingi sana,muembe chai na kule pemba ni ushahidi tosha.

Kati ya Makosa makubwa watakayoyafanya CCM ni kumpitisha MWISLAMU kugombea Urais,Wakristo wataungana waziwazi kumpinga.Hawatakubali Mapadre na Wachungaji waendelee kuuwawa kwa miaka mingine Kumi.
 
BOMBAY said:
Hahahahahahahaha,kile kibabu cjui kimekupa nn mpaka unakihusudu.Nchi hii haiendi kwa wachagga mkuuima
Naona unwritten rules ziko kibao! Hata hivyo kuna thread yenye maudhui kama hayo yako! Kwamba kuna makabila mwalimu aliyakataa!

Hilo la makabila siyo big deal wala nini, mara ngapi watu wa makabila tofauti wanapatana kuliko hata ndugu kwasababu tu ya Imani?
 
Umebadili kambi?
Mkuu Nduka, ukienda kwenye mnada wa hadhara, kama hicho kitu unakitaka wewe, utakwewnda na timu 3. Timu moja ni ya kwako mwenyewe, timu nyingine ni ya kuwakimbiza serious contenders wote kwa kila atakayeku outbid, mtu wako atamfurusha kwa ku bid very high hadi mwisho wa siku, the highest bidder ni mtu wako, the second highest pia ni wako na wewe ndio the 3rd.

Wakati wa kulipa, the ist and the 2nd watafanya no show, ili mzigo uangukie kwako!.

Kwa wanaozijua siasa za nchi hii, JM na EL ni kambi ile ile sponsored by "the King Maker!", kuna watu niliwaeleza humu tangu mwanzo, kuna watu ni just "pace makers" na kina Yohana Mbatizaji tuu, wakiyanyoosha mapito ya "the chosen one!", hawakunielewa!, labda sasa wataelewa kwamba "that is what is the name of the game!", na kujua "the games people play!", "plays our minds away!".

Pasco
 
Hata Kijana, kuanzia jina ni Christian name, mama ni Christian, Mke ni Christian, watoto ni Christian, na kanisani ataingia!. Uislamu wake ni kwa Baba tuu kama alivyo Baraka Hussein!. He is fit in every aspects!.
Pasco
Kuna siku nakumbuka aliwahi kuandika kwenye twitter kuwa Mama yake ni mkristo swafi na huwa anawasalia kila siku kabla hawajaenda kulala walipokuwa wadogo.

Mimi sidhani kama dini ni kigezo bali tuangalie uwezo wa mtu

Binafsi ningependa kijana achukue nchi, lakini pia uzoefu ni muhimu sana, may be atazungukwa na baraza la wazoefu.

All in all anatumia haki yake ya kidemokrasia na sina budi kumpongeza kwa kutokuwa mwoga

Hata kwenye ubunge aling'oa mtu mzito sana kule bumbuli....
 
Kati ya Makosa makubwa watakayoyafanya CCM ni kumpitisha MWISLAMU kugombea Urais,Wakristo wataungana waziwazi kumpinga.Hawatakubali Mapadre na Wachungaji waendelee kuuwawa kwa miaka mingine Kumi.

kama walivyoungana 2010 bahati nzuri Mungu si wa upande wao
 
Mkuu unwritten constituion ni tofauti na unwritten rules! Kuna wakati sikuiona hii thread nilipo t aka kuijibu hii hoja yako.Nikaanzisha thread nyingine ambapo nilifafanua utofauti huo!

Unwritten rules ni taratibu tulizojiwekea ambazo haziko kisheria wala kikatiba!

Mfano ccm walipoamuwa kuwa spika sasa awe mwanamke! Ama wanavyosema kuhusu ujana nk.Hizo ni unwritten rules.

Nashukuru kwa ufafanuzi mkuu. Wenzetu wamarekani wanakiita kitendo cha ku alternate hizi dini kwa viongozi wetu kama unwritten constitution! Yote kwa yote nimepkupata vyema.
 
Unazungumzia udini ktk nchi yenye watu zaidi ya mil45, Tunahitaji rais anayejua matatizo ya watanzania na kuyatatua.
 
Acha udini mkuu; nchi hii hatuchagui watu kwa kufuata udini wao bali tunaangalia sifa na uwezo wa mtu tu. Wapagani nao watasemaje...?
 
Kura yangu kwa Dr. Slaa sio kwa sababu ya dini yake bali kwa sababu ana upeo wa kuona kilomita tano mbele ya wagombea wote watakaokuwepo 2015.
 
Kuna siku nakumbuka aliwahi kuandika kwenye twitter kuwa Mama yake ni mkristo swafi na huwa anawasalia kila siku kabla hawajaenda kulala walipokuwa wadogo.

Mimi sidhani kama dini ni kigezo bali tuangalie uwezo wa mtu

Binafsi ningepenina na kijana achukue nchi, lakini pia uzoefu ni muhimu sana, may be atazungukwa na baraza la wazoefu.

All in all anatumia haki yake ya kidemokrasia na sina budi kumpongeza kwa kutokuwa mwoga

Hata kwenye ubunge aling'oa mtu mzito sana kule bumbuli....
Mkuu tusiongelee issues serious as if ni porojo!

Kwanza ni vyema kutokurudia kitu ambacho nimeshakiweka wazi toka bandiko la kwanza, kwamba dini siyo kigezo cha uongozi bora.Ama na wewe unadhani ujana ni uongozi bora?

Ni fair kusema kwamba wenye uwezo wa kuongoza Taifa letu wako kwenye dini zote na pia rika zote! However utaratibu tulio nao, unasaidia kwenye kuudumisha umoja, udugu na utaifa wetu!

Mbona awamu Iliyopita walipoingia madarakani wale wa imani yake walisema ni bora kuliko ingekuwa mkristo!?

Ama wewe unadhani kungekalika kama angekuwa mkristo? Tujifunze kuvumiliana for the sake of our country! Rais ajaye anahitaji ushirikiano dhabiti wa wananchi! Na pia ninaamini kuwa rais ajaye atakuwa muhimu kuliko marais wote waliopita, given that nchi yetu sasa Ina rasilimali ambazo kwa nchi nyingine zimekuwz kama laana!
 
Nashukuru kwa ufafanuzi mkuu. Wenzetu wamarekani wanakiita kitendo cha ku alternate hizi dini kwa viongozi wetu kama unwritten constitution! Yote kwa yote nimepkupata vyema.
pamoko kiongozi!
 
Mkuu Nduka, ukienda kwenye mnada wa hadhara, kama hicho kitu unakitaka wewe, utakwewnda na timu 3. Timu moja ni ya kwako mwenyewe, timu nyingine ni ya kuwakimbiza serious contenders wote kwa kila atakayeku outbid, mtu wako atamfurusha kwa ku bid very high hadi mwisho wa siku, the highest bidder ni mtu wako, the second highest pia ni wako na wewe ndio the 3rd.

Wakati wa kulipa, the ist and the 2nd watafanya no show, ili mzigo uangukie kwako!.

Kwa wanaozijua siasa za nchi hii, JM na EL ni kambi ile ile sponsored by "the King Maker!", kuna watu niliwaeleza humu tangu mwanzo, kuna watu ni just "pace makers" na kina Yohana Mbatizaji tuu, wakiyanyoosha mapito ya "the chosen one!", hawakunielewa!, labda sasa wataelewa kwamba "that is what is the name of the game!", na kujua "the games people play!", "plays our minds away!".

Pasco

Hii itakuwa poor tactic by "king maker" maana it is obvious move. Tunamfahamu kama mastermind wa move hizi mbili ila nadhani na yeye atakuwa ana gamble tu maana mtu wako anaangushwa na afya yake naona mmeamua kuchagua fallback position. Mmeiacha wapi philosophy ya kambi yenu ya plan A without plan B.
 
Mtowa mada naona hata yy kajengeka kwa imani ya kidini zaidi japo naona kapindisha pindisha tu kutaka tumuone yeye hayupo kwenye udini
Mm kwangu rais ata awe mcristu awamu 10 kama ni muwadilofu huyo anafaaa kabisa
Awe anajali watu wake bila upendeleo awe mcristo muislam mpagani hote hawa ni wa tz

Mimi muislam unakuta nimezaa na mwanamke mcristu hapo watu hote ni sawa

Ninaimani nchi yetu inaharibiwa na viongozi wa dini za wacristo na waislam unakuta viongozi wa dini wanatowa matamshi ya siasa wakiwa kwenye nyumba zao za ibada tena matamshi yanyolenga taifa la watu ambao si hte wa mazeebu na imani hio wabadilike viongozi wetu wa dini
Tumeona kwenye kampeni za mwaka 2010 watu walikuwa wanambiwa na viongozi wa dini zao live tumpigie wa dhehebu letu hapo tunajenga nini

Nchi ya rwanda mauwaji mengi yalihalalishwa na viongozi wa dini japo wao hunyoosheya wanasiaaa
Kwangu mm viongozi wa dini ndio huwa chanzo cha kuwaminisha waumini wao kumchaguwa muumini mwenzao
Na nyie wanasiasa acheni kuongelea
Maswala ya kitaifa kwenye nyumba za ibada
 
Acha udini mkuu; nchi hii hatuchagui watu kwa kufuata udini wao bali tunaangalia sifa na uwezo wa mtu tu. Wapagani nao watasemaje...?
Mkuu please soma bandiko la awali kabisa na ulielewe.

Tena nikasema "hata mpagani" sawa tu! Ni unwritten rules tulizonazo!

Kwan maraisi awamu zote zilizopita walichaguliwa kwa kigezo cha dini?

Na kama jibu ni hapana, je Imetokea bahati mbaya tukawa na marais mwenye imani ya tofauti kila awamu?

Sisi watanzania wengi wetu tunaongozwa na Imani tusidanganyane! Ila uvumilivu baina yetu kati ya tofauti zetu (za kidini ikiwa mojawpo),ndo umetupatia amani tuliyonayo!
 
Kati ya Makosa makubwa watakayoyafanya CCM ni kumpitisha MWISLAMU kugombea Urais,Wakristo wataungana waziwazi kumpinga.Hawatakubali Mapadre na Wachungaji waendelee kuuwawa kwa miaka mingine Kumi.
Mkuu Faru Dume, katika mada yangu hii, [h=3]Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ..[/h]niliizungumzia hii dhana ya udini ya zamu za kupokezana!, nilishauri ili kuivunjilia mbali dhana hii, 2015 CCM imsimamishe tena Muislamu, tena this time iwe ni zamu ya Zanzibar na ikibidi makamo awe she!.

Pasco
 
raisi ajaye ni dokta slaa hao wengine wanajisumbua kupoteza muda wao bure

tu BET labda kwa nchi nyingine na sio Tanzania,,, kwa maadalizi gani hadi Slaa awe rais? nyie wenyewe mmegawanyika wengine makamba na wengine Lowassa mmesahau agenda ya chama chenu ya kuchukua nchi mmehamia kwa machaguo ya ccm....
 
Hii itakuwa poor tactic by "king maker" maana it is obvious move. Tunamfahamu kama mastermind wa move hizi mbili ila nadhani na yeye atakuwa ana gamble tu maana mtu wako anaangushwa na afya yake naona mmeamua kuchagua fallback position. Mmeiacha wapi philosophy ya kambi yenu ya plan A without plan B.
Hoja ya afya haina mashiko kwa sababu kama mtoa afya ameamua ni fulani, hiyo afya ataiimarisha!.
Huu sio uchaguzi wa fall back position wall plan b, bali that was the plan, ante mwenye nguvu ili wale wenye masonge mazonge wasokomezwe pembeni, "the chosen one" apite kwa ulaini!.

Pasco
 
Back
Top Bottom