jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
- Thread starter
- #21
Mkuu kwani ni wapi kwenye constitution imeandikwa rais ni lazima awe kijana?In RED, you mean unwritten constitution bila shaka!
Ama hujafuatilia maoni ya baadhi ya viongozi wakuu wa nchi na wenye kuheshimika kwenye siasa?
Si afadhali hata utaratibu huu wa hii Issue ya kubadili ulikuwepo?