Rais ajaye akerwe na udini kwa vitendo

Hii yote imesababishwa na watu kuacha kutumia majina yao ya asili na kuanza kutumia majina ya kiarabu na kizungu laiti kama watu wangekuwa wanatumia majina ya asili mfano (Makelemo Mchembe) huko kwenye ajira, work shop au warsha usingeuhisi hata huo udini maana kwa kiasi kikumbwa haya majina ya kizungu na kiarabu mnayanathibisha na dini
 
Ndugu zetu hawawezi kuwa sawa na sisi. Tatizo lao kubwa, wanawafundisha zaidi vijana wao Elimu Ahera zaidi ya Elimu Dunia. Si Jambo baya, lakin wanakosa ujuzi kutokana na kuwa na Elimu ndogo. Nakubali kuwa, wengi wao waliobahatika kutoboa, wako vizuri kichwani and their good leaders japo itikadi huwa zinawazidi.

Chukulia mfano, Kati ya wanafunzi mia mbili wa Udaktari wanaodahiliwa kila Mwaka na Chuo Kama Muhimbili, Hawa ndugu zetu huwa hawazidi ishirini.

Na si kwamba wanabaniwa, Ila ufaulu wao mdogo unawanyima fursa sawa ya kudahiliwa. Nawashauri, wajifunze kwetu, nguvu wanayotumia kujenga nyumba nzuri za ibada hapa mjini, wazitumie pia kujenga shule Bora Kama za kwetu. Kwa elimu za Ubungo Seminary hawawezo kushindana na Msolwa.

Asante.
Hii hoja haina msingi wowote.

Hivi kama unavyosema ndivyo ilivyo basi si tungeona Wenzetu kule Zenji ambapo 90% ni Dini moja wakitusua sana na kutoa hiyo pcha kuwa wanabaniwa?

Hivi kama ajira zina upendeleo, serikali inaajiri sehemu gani wa Watanzania wote?
Zenj ina uchumi kidogo kuliko bara...population pia si kubwa kama ilivyo bara...kifupi maisha ya Zenj na Bara ni toafuti sawa na Tz(bara) na Uganda
 
Kama hao waislam wanakidhi vigezo shida iko wapi?

Mkuu wa nchi hawezi fanya uteuzi hata kwa watu wasio na vigezo eti kisa kuleta balance Kati ya waislam na wakristo.

Zipo nchi ambazo mgawanyo wa vyeo unaangalia dini lakini sio Tanzania.
Huku hatuangalii sura, kabila, wala DINI ila mwenye vigezo vinavyofaa (kwa maono ya mteuaji) anapewa nafasi.
Kila taifa Lina shida yake, mfano, ukienda rwada na Burundi teuzi lazima ziangalie ututsi na uhutu, sisi hapa lazima tuangakie pamaja na qualifications za kitaaluma lazima tuangalie pia dini, pande mbili za muungano, na mikoa ya nchini ili kudumisha utulivu.
 
Ni haki yao walalamike maana hata wao ni walipa kodi wa nchi hii pia. Wanastahili kutendewa haki!

Nyie mna TEC ya kuwasemea, wao wana BAKWATA waliyoundiwa na kulazimishiwa na serikali ili wasifurukute, wakiunda vyombo vingine Serikali inavihujumu!

Kiukweli Waislamu nchi hii wanafanywa second class citizens. Ukishakuwa na jina la Kiislamu basi chance yako ya kupata ajira au teuzi ni ndogo sana, Na huu ndo mfumo Kristo wenyewe unaosemwa kila siku.

Jiwe ni mdini aliyepitiliza
Nendeni mkafanye kazi Zanzibar

Wakati mnaundiwa BAKWATA kwanini hamkuipinga kama kweli mna wasomi?

Mimi nakuambia hivii:-

Organization yoyote inayoundwa na Waislam peke yao haikui na haikomai, take it from me.

nimefanya kazi mahali penye idadi kubwa sana ya Waislam na hali ndio hiyo.

Lazima watagombana wenyewe kwa mwenyewe, watahitilafiana au watapingana katika itikadi.
 
Nendeni mkafanye kazi Zanzibar

Wakati mnaundiwa BAKWATA kwanini hamkuipinga kama kweli mna wasomi?

Mimi nakuambia hivii:-

Organization yoyote inayoundwa na Waislam peke yao haikui na haikomai, take it from me.

nimefanya kazi mahali penye idadi kubwa sana ya Waislam na hali ndio hiyo.

Lazima watagombana wenyewe kwa mwenyewe, watahitilafiana au watapingana katika itikadi.

Zanzibar ni nchi ya Wazanzibari

Nchi hii ni yetu sote, haipaswi uwepo upendeleo
 
Zanzibar ni nchi ya Wazanzibari

Nchi hii ni yetu sote, haipaswi uwepo upendeleo
Huo upendeleo haupo, ni vile mlishaucreate vichwani mwenu tu.

Ninyi mna CHUKI KUBWA kwa Wakristo hata CD zenu za kuutukana Ukristo huwa tunazisikiliza.

Sijawahi kusikia Ibada ya kikristo ikiwazungumzia ninyi ila ninyi siku zote ni wa kuona mnaonewa, mnadhulumiwa na Wakristo hata kama sivyo.
 
Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.

Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu.

Ukifika kwenye ofisi za umma utakuta Mtumishi kaweka kwa sauti music wa dini fulani na watu hawahoji.

Hii sio bahati bahati mbaya Wala coincidence. Ikumbukwe kuwa mishahara ya ajira na posho za vikao na mikutano ndizo zinazokwenda kuwekezwa kwenye elimu za watoto na maendeleo ya familia za watu waliopewa fursa ya ajira na kuhudhuria mikutano na kupata hela.

Hii inasababisha maisha na familia za jamii inayooatiwa fursa hizi kuwa mbele kimaisha na kielimu. Hivyo familia za wanufaika kuendelea kutoa watumishi bora na wenye elimu shindani na wale wanaonyimwa fursa kuendelea kutoa watu wasiokuwa bora na elimu shindani kwenye ajira, "vicious circle"

Rais anayekuja lazima azimulike ofisi zote za umma na taasisi, washa, mikutano na workshops na teuzi zote ili kujiridhisha na uwiano wa kidini pia baada ya vigezo vingine kukamilika.

Taasisi zetu za dini hazijui kazi zao au zinaogopa kutimiza kazi zao? Au ni hayo hayo matokeo ya kukosa fursa za elimu kwa njai hii?

Rais ajae pamoja na Mambo mengine ya jumla lakini autazame pia huu ufa kwenye taifa.
Mkuu unatusema sisi wazimbari nini? maana tumejaa dini moja tu
 
Kuongelea udini Karne hii ni kukosa hoja ya msingi kwa jamii ya kitanzania.
Tatizo watu wanalazimishwa kusema hivyo wala sio kukosa hoja za msingi maana kuna viongozi wa dini fulani watasababisha vifo watasema maneno mengi ya kuleta taharuki wala hawachukuliwi hatua yoyote au kuitwa magaidi lakini geuka upande wa pili kuna viongozi wa dini washapigwa mpaka risasi na kuumizwa na Polisi na wengine kuozea magerezani hadi hii leo bila kushitakiwa kwa kesi za kusingiziwa tu haya yote tunayaona, tusifiche ubaguzi wa dini kwa kisingizio cha kuondosha amani ya nchi.
 
Huo upendeleo haupo, ni vile mlishaucreate vichwani mwenu tu.

Ninyi mna CHUKI KUBWA kwa Wakristo hata CD zenu za kuutukana Ukristo huwa tunazisikiliza.

Sijawahi kusikia Ibada ya kikristo ikiwazungumzia ninyi ila ninyi siku zote ni wa kuona mnaonewa, mnadhulumiwa na Wakristo hata kama sivyo.

Siyo chuki, ni kwamba teuzi nyingi na nafasi nyingi za utumishi nchini wanapewa wakiristo zaidi kuliko waislamu, hilo linapswa lirekebishwe haki itendeke, lazima fairness katika nchi iwepo
 
Sijui kama umenielewa!! Sipingi wala sikubali kama wanadhulumiwa! Ila hoja yangu ukitaka kuondosha udini kwenye ajira zingatia professionalism.
Tukishaanza kufikiri kwenye ajira lazima kuwe na usawa wa dini tutaharibu badala ya kujenga
professionalism kivepee? walioajiriwa, wenye profession ndio mafisadi, ndio wala rushwa, na ndio watunga sera mbovu kwa manufaa ya kikundi fulani. Kwahiyo wewe unaona mafisadi, wala rushwa na watunga sera mbovu wawe wa jamii moja pendwa?
 
Siyo chuki, ni kwamba teuzi nyingi na nafasi nyingi za utumishi nchini wanapewa wakiristo zaidi kuliko waislamu, hilo linapswa lirekebishwe haki itendeke, lazima fairness katika nchi iwepo
Unajua kuwa mkiambiwa mthibitishe huo upendeleo mtashindwa?

Hakuna Wakristo wanaopata post pasipo sifa stahiki na Uzoefu

Waislam kwenye sifa stahiki ni wachache kuliko Wakristo.

Tunaona hata products za mashuleni na vyuoni

Tatizo hamtaki kukubaliana na ukweli.
 
professionalism kivepee? walioajiriwa, wenye profession ndio mafisadi, ndio wala rushwa, na ndio watunga sera mbovu kwa manufaa ya kikundi fulani. Kwahiyo wewe unaona mafisadi, wala rushwa na watunga sera mbovu wawe wa jamii moja pendwa?
Siala la kula rushwa na ufisadi ni tabia mbovu ya mtu binafsi tu, hakuna job conduct yoyote inayoruhusu tabia hizo.

Ni kama uzinzi au wizi, imekatazwa lakini wapo wanaofanya.
 
Dunia haina usawa kwa mtu mzembe anayelialia, ukijipambanua kiutendaji dunia itakuona, kanisani kwetu mlinzi ni muislam, siyo kwamba hakuna mlinzi mkristo lah!

Ni kwamba huyu muislam kaonyesha weledi kwenye ulinzi na kapewa na analisha familia kwa kazi hiyo, nimetoa mfano huo japo najua watakuja kulalamika kuwa kwanini muislam hasiwe padre au mchungaji akawa mlinzi
Unamaanisha Waislamu wote ni wazembe? Au sio?

Huna hoja ndugu.

Waislamu watu bora kabisa, mashupavu wenye kupenda kazi, haki, elimu, Mungu, Usafi, umoja na wenye tabia nzuri.... NK
 
Hata Mkimwomba Mungu usiku na mchana bila kuchukua hatua ya kusoma na kuinvest ni kazi bure
Ndio maana Tanzania ipo nyuma sana kimaendeleo kwa ajili yenu nyie mnaopenda madaraka lakini wavivu na wala rushwa, na wafojaji...

Rafiki yangu Mheshimiwa Magufuli anawatumbua vizuri sana, In Sha Allah ataweka mambo sawa. Na atawakomesha wahalifu wote,

Tungepata Raisi kama Magufuli tokea zamani mambo yangekuwa shwari kabisa.
 
Haya ni Mawazo Muflisi kabisa kwenye Karne hii. Kwani akiwa rais wa dini yako wewe binafsi na familia yako mnafaidikaje... watu wanye mawazo ya design hii mara chache sana kuweza kuwa na maendeleo..kuanzia elimu hata uchumi..badilika Mtanzania mwenzangu...
Nyie ndio mna udini kuliko Waislamu ndio maana mnapeana nafasi zote za kazi Serekalini.
 
Ndio maana Tanzania ipo nyuma sana kimaendeleo kwa ajili yenu nyie mnaopenda madaraka lakini wavivu na wala rushwa, na wafojaji...

Rafiki yangu Mheshimiwa Makufuli anawatumbua vizuri sana, In Sha Allah ataweka mambo sawa. Na atawakomesha wahalifu wote,

Tungepata Raisi kama Magufuli tokea zamani mambo yangekuwa shwari kabisa.
Umequote kitu ambacho hata hujakisoma.

Sasa mbona mnalalamika Magufuli ni Mdini?

Amakweli nyie Mwamedi aliwalobesha
 
Unamaanisha Waislamu wote ni wazembe? Au sio?

Huna hoja ndugu.

Waislamu watu bora kabisa, mashupavu wenye kupenda kazi, haki, elimu, Mungu, Usafi, umoja na wenye tabia nzuri.... NK
Namaanish wanaokuja huku kwenye mitandao na kujaribu kuwajengea huki ya kidini Watanzania, kama na ww umo pole sana, unahitaji tiba ya kisaikoojia
 
Nendeni mkafanye kazi Zanzibar

Wakati mnaundiwa BAKWATA kwanini hamkuipinga kama kweli mna wasomi?

Mimi nakuambia hivii:-

Organization yoyote inayoundwa na Waislam peke yao haikui na haikomai, take it from me.

nimefanya kazi mahali penye idadi kubwa sana ya Waislam na hali ndio hiyo.

Lazima watagombana wenyewe kwa mwenyewe, watahitilafiana au watapingana katika itikadi.
Sio kweli,

nyie Wakristo ndio mnaongoza katika kushirikiana kuwafanyia Waislamu uadui.

Kila siku mnapanga mikakati dhidi ya Waislamu.
 
Back
Top Bottom