The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,587
Waislamu acheni hizi habari zenu za kibwege, mtu kama kichwani hamna kitu why apewe kazi kisa ku balance ratio ya dini? Hivi inaingia akilini kweli?
Kazi yoyote ile ina qualification zake, na dini ya mtu haiingii kwenye qualification yoyote hapo labda iwe taasisi za watu binafsi ambao wanaajiri kutokana na wanavyojisikia (mfano seminari za kikristu haziwezi kuajiri muislamu pia hivyo hivyo kwa upande wa waislamu)
Karne hii ya 21 msitake kujidai kua ninyi ndio maskini wa kutupwa nchini humu kiasi kwamba hamuwezi kuwasomesha watoto wenu shule binafsi zenye ubora mkubwa. Wala pia msitake kutafuta kichaka cha kujifichia wakati ukweli mnaujua kua mme invest sana kwenye elimu ya dini yenu kiasi cha kuipuzia elimu ya duniani (achana na elimu dunia ya majini ambayo mmeibobea kwelikweli)
Mnasahau kua elimu ya dini na hii formal education vinatakiwa kwenda sambamba, ndio maana kwa wakristu biblia imesema "Mshike sana elimu usimuache aende zake" pia kuna mahala inasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Mfano hai: Wakati Rais Magufuli anamteua yule mama kisarawe ambaye identity yake tu ni muislam, wakati anamuuliza mkuu wa mkoa kuna sehemu aliuliza huyu mtu ni dini gani? kitu pekee alichouliza baada ya kumuona ni una elimu gani yule mama akasema ana masters kisha akateuliwa.. Unadhani angekua na elimu ya kuokoteza angeteuliwa?
Kumbe issue ya msingi hapa ni elimu.
Mambo ya kuonewa huruma katika dunia ya sasa ya kidigital na teknolojia yashapitwa na wakati. Issue ya msingi mu invest sana kwenye elimu ambayo wengi wenu hamtaki kuwasomesha watoto wenu kisa mnadai imekaa ki magharibi (mfano mzuri Adam Haji, baba yake alikua waziri huko somalia lakini alikataa kumsomesha kitu chochote zaidi ya elimu ya dini ya uislam kisa elimu hii ya dunia ni ya kikafiri)
Ni wakati wa taasisi zote za elimu za kiislam kujitathimini na kuona zinaweka uwiano mzuri kati ya hizi elimu mbili, naandika hivi kwa sababu hata overall perfomance shule nyingi za kiislamu hazifanyi vizuri kabisa, au hapa napo mnataka kusema kuna uonevu? Ukija hata katika hizi shule za kata ambazo zimejaa wakristu kibao bado individual performance wakristu bila kujali dhehebu wanafanya vizuri na hii inakupa taswira kua kuna kitu kwenu hakipo sawa katika upande fulani, ndio maana hata mikoa inayoongoza kwa matokeo mabovu mingi ni yenye idadi kubwa ya waislamu.
Ukitaka kutatua kosa siku zote kubali kua umekosea, lakini bila kukubali huwezi kutatua kosa, na wengi mnajua mnapokosea ila ndo hivyo hamtaki kukubali.
Kazi yoyote ile ina qualification zake, na dini ya mtu haiingii kwenye qualification yoyote hapo labda iwe taasisi za watu binafsi ambao wanaajiri kutokana na wanavyojisikia (mfano seminari za kikristu haziwezi kuajiri muislamu pia hivyo hivyo kwa upande wa waislamu)
Karne hii ya 21 msitake kujidai kua ninyi ndio maskini wa kutupwa nchini humu kiasi kwamba hamuwezi kuwasomesha watoto wenu shule binafsi zenye ubora mkubwa. Wala pia msitake kutafuta kichaka cha kujifichia wakati ukweli mnaujua kua mme invest sana kwenye elimu ya dini yenu kiasi cha kuipuzia elimu ya duniani (achana na elimu dunia ya majini ambayo mmeibobea kwelikweli)
Mnasahau kua elimu ya dini na hii formal education vinatakiwa kwenda sambamba, ndio maana kwa wakristu biblia imesema "Mshike sana elimu usimuache aende zake" pia kuna mahala inasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Mfano hai: Wakati Rais Magufuli anamteua yule mama kisarawe ambaye identity yake tu ni muislam, wakati anamuuliza mkuu wa mkoa kuna sehemu aliuliza huyu mtu ni dini gani? kitu pekee alichouliza baada ya kumuona ni una elimu gani yule mama akasema ana masters kisha akateuliwa.. Unadhani angekua na elimu ya kuokoteza angeteuliwa?
Kumbe issue ya msingi hapa ni elimu.
Mambo ya kuonewa huruma katika dunia ya sasa ya kidigital na teknolojia yashapitwa na wakati. Issue ya msingi mu invest sana kwenye elimu ambayo wengi wenu hamtaki kuwasomesha watoto wenu kisa mnadai imekaa ki magharibi (mfano mzuri Adam Haji, baba yake alikua waziri huko somalia lakini alikataa kumsomesha kitu chochote zaidi ya elimu ya dini ya uislam kisa elimu hii ya dunia ni ya kikafiri)
Ni wakati wa taasisi zote za elimu za kiislam kujitathimini na kuona zinaweka uwiano mzuri kati ya hizi elimu mbili, naandika hivi kwa sababu hata overall perfomance shule nyingi za kiislamu hazifanyi vizuri kabisa, au hapa napo mnataka kusema kuna uonevu? Ukija hata katika hizi shule za kata ambazo zimejaa wakristu kibao bado individual performance wakristu bila kujali dhehebu wanafanya vizuri na hii inakupa taswira kua kuna kitu kwenu hakipo sawa katika upande fulani, ndio maana hata mikoa inayoongoza kwa matokeo mabovu mingi ni yenye idadi kubwa ya waislamu.
Ukitaka kutatua kosa siku zote kubali kua umekosea, lakini bila kukubali huwezi kutatua kosa, na wengi mnajua mnapokosea ila ndo hivyo hamtaki kukubali.