Rais ajaye akerwe na udini kwa vitendo

Huu ndio wimbo wenu miaka yote,ndio maana hutasikia mkristo analalamika pindi marais waislamu wanapoongoza, kwasababu hatuamini kama wanaoteuliwa wanateuliwa kwa udini bali kwa uwezo wao zamu ikifika yeyote anaweza pata nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe upo nchi hii?
Wakati wa Kikwete hata vinafasi vichache alivyowapa waislamu navyo mlikuwa mkiona nongwa hata kama mlikiwa bado wengi kuzidi waislamu serikalini!

Kiufupi kuna mfumo Kristo umesimikwa nchi hii Tangu Nyerere na kuudismantle ni ngumu sana, akiingia rais muislamu akajaribu kufanya hilo Kanisa linaweza kumletea tabu sana hata. kuangusha serikali yake, maana kuanzia kwenye mzizi wa serikali nyinyi huko kwa watendaji, maofisa utumishi, makamishna, makatibu wakuu, wakurugenzi, etc nyote mko nyinyi, na ikitokea akataka kubadirisha na kuweka uwiano wa kijamii mtapiga kelele za udini!, udini!, udini! mpaka basi

Kamuulize Makonda kajisemea Ukweli kuwa nchi hii iko chini ya Kanisa, Yuko sahihi!
 
Wewe upo nchi hii?
Wakati wa Kikwete hata vinafasi vichache alivyowapa waislamu navyo mlikuwa mkiona nongwa hata kama mlikiwa bado wengi kuzidi waislamu serikalini!

Kiufupi kuna mfumo Kristo umesimikwa nchi hii Tangu Nyerere na kuudismantle ni ngumu sana, akiingia rais muislamu akajaribu kufanya hilo Kanisa linaweza kumletea tabu sana hata. kuangusha serikali yake, maana kuanzia kwenye mzizi wa serikali nyinyi huko kwa watendaji, maofisa utumishi, makamishna, makatibu wakuu, wakurugenzi, etc nyote mko nyinyi, na ikitokea akataka kubadirisha na kuweka uwiano wa kijamii mtapiga kelele za udini!, udini!, udini! mpaka basi

Kamuulize Makonda kajisemea Ukweli kuwa nchi hii iko chini ya Kanisa, Yuko sahihi!
Kwa hiyo kilichobaki utafanyaje,toka kwenye keyboard kaandamane kama tuone utapata wafuasi wangapi,kama huwezi jinyonge ufe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kilichobaki utafanyaje,toka kwenye keyboard kaandamane kama tuone utapata wafuasi wangapi,kama huwezi jinyonge ufe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanyonge sisi , hatuna nguvu sisi, tukiandamana mtatupiga risasi mtatuua, ila tutamlilia Mungu akipenda atatunusuru kwa njia zake.

Leo Wamarekani weusi baada ya miaka 450 kubaguliwa katika nyanja mbalimbali za maisha ikiwemo uchumi, kijamii n.k Mugu anawasikia. Leo masanamu ya waliowanyanyasa yanaangushwa, sheria za kiukandamizaji dhidi yao zinarekebishwa.
Kama walivyookolewa wana wa Israel kutoka katika jeshi la Faraoh na Mungu ataingilia kati na kuwafanya waislamu wa Tanzania nao wawe treated fairly katika ajira na katika utumishi ndani ya serikali yao!

Kwa hiyo ndugu yangu udhalimu una mwisho na tutaendelea kupaza sauti mpaka Haki itakapojitenga na batili.
 
Wanyonge sisi , hatuna nguvu sisi, tukiandamana mtatupiga risasi mtatuua, ila tutamlilia Mungu akipenda atatunusuru kwa njia zake.

Leo Wamarekani weusi baada ya miaka 450 kubaguliwa katika nyanja mbalimbali za maisha ikiwemo uchumi, kijamii n.k Mugu anawasikia. Leo masanamu ya waliowanyanyasa yanaangushwa, sheria za kiukandamizaji dhidi yao zinarekebishwa.
Kama walivyookolewa wana wa Israel kutoka katika jeshi la Faraoh na Mungu ataingilia kati na kuwafanya waislamu wa Tanzania nao wawe treated fairly katika ajira na katika utumishi ndani ya serikali yao!

Kwa hiyo ndugu yangu udhalimu una mwisho na tutaendelea kupaza sauti mpaka Haki itakapojitenga na batili.
Naona historia ndio iliyofanya yote haya, badala ya kusubiri kudura za mwenyezimungu hebu kwanza watu waaze kufanya mambo yafuatayo
1. tuendelee kupaza sauti, kushawishi na kushauri watunga sera wazingatie uwiano sio tu wa kidini bali hata wa kijinsia, kikabila, kikanda, na mahitaji maalum kwenye jamii. Makundi yamulikwe sawasawa.

2. Makundi yote kwenye jamii yajitahidi kuwatengeneza watu wao wengi na kuwaeleza ukweli wawe na sifa za kuajiliwa. Mfano, kugeuza misaada ya tende kuwa misaada ya vitabu vya physics na hisabati, kupewa msaada wa walimu wa dini kuwa walimu wa chemistry na uhandisi, misaada ya ujenzi wa nyumba za ibada iwe ujenzi wa madarasa na vifaa vya kufundishia taaluma, kufundisha dini kila siku kwenye madarasa ya dini tufundishe historia, geografia, kiswahili, biology, nk.
3. Tupeleke watoto wetu wengi kwenye hata shule zao hizohizo bila kujali dini wala dhehebu la mmiliki wa shule.

4. Tuhimize watoto wetu wasome hata masomo ya kidunia ili kupata sifa za kushindana, maana hakuna mtu anayekubali kupanda ndege yenye rubani asiyekuwa na ujuzi wa kurusha ndege.

5. Tupunguze kuoza watoto mapema ili waendelee na masomo.

6. Wasomi walioko wajitokeze na wachangamkie fursa mbalimbali, maana fursa nyingine ni zakupigania zaidi kuliko kupewa.
 
Wanyonge sisi , hatuna nguvu sisi, tukiandamana mtatupiga risasi mtatuua, ila tutamlilia Mungu akipenda atatunusuru kwa njia zake.

Leo Wamarekani weusi baada ya miaka 450 kubaguliwa katika nyanja mbalimbali za maisha ikiwemo uchumi, kijamii n.k Mugu anawasikia. Leo masanamu ya waliowanyanyasa yanaangushwa, sheria za kiukandamizaji dhidi yao zinarekebishwa.
Kama walivyookolewa wana wa Israel kutoka katika jeshi la Faraoh na Mungu ataingilia kati na kuwafanya waislamu wa Tanzania nao wawe treated fairly katika ajira na katika utumishi ndani ya serikali yao!

Kwa hiyo ndugu yangu udhalimu una mwisho na tutaendelea kupaza sauti mpaka Haki itakapojitenga na batili.
Huna hoja,unawajua wanyonge wewe,endelea kuandika ujaze uzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa kulialia na kulalamika.

Tumeshawazoea ninyi, endeleeni kutawadha tu badala ya kuinvest vizuri katika Elimu
Mgalatia lzm utukane na kutoa kashfa.
Hii ni ibada kwenu.
Unakashifu wenye kutawaza we kutembea na kinyesi makalioni ndio kuelimika!
Unainvest Kwenye elimu ya kuibia taifa lako kisha unajisifu?
Majizi yote yaliotumbuliwa hapa Tz yalikuwa na imani ipi?
Mnakula mali za watanzania huku mnapiga vigelegele bila aibu.!

Nyie ndio maana huwa mnakufa vifo vya ajabu. Halafu mnaitana kukana hivyo vifo as if mtafufuka.
Swain wahed
 
Kwani aliyevuliwa cheo chake ni Prof. Assad tu? Wakristo wangapi wamevuliwa vyeo?

Ninyi tunawafahamu kwa kulialia na kulalamika kila Mara

Okay, kule Zanzibar above 90% ni Waislam haswaa katika dola na uongozi serikalini

JE mmejenga vyuo vikuu vingapi? Uongozi wa vyuo ukoje? Ubora wa elimu upoje? Shule za huko Zanzibar zipoje?

Hahaha, mshukuruni Rais mstaafu B.W. Mkapa kukupeni lile jengo la TANESCO pale Morogoro mkakifanya chuo

Ninyi Mnapuuza Ilmu Dunia hata usibishe, halafu mnafikiri kulialia ndio suluhisho

Badilikeni mpige adhana za kusisitiza Elimu dunia.
Acha kuongea pumba km unaumwa mshipa.
Zanzibar iko chini ya waislamu au mfuko kristo frm day one?
Kila siku wazanzibari wanataka Nchi yao waachiwe wenyewe lkn Mpk leo bajeti ya nchi yao inapangwa Dodoma.
Kipato chao kiko chini ya serikali ya Tz.
Wana uhuru upi wa kuanzisha Chuo?
Au wana uhuru upi wa kuanzisha chochote cha maana bila kupata ridhaa ya Dodoma?

Usiropoke tu kwa sababau JF ni Bure.
We kaa shangilia mfumo kristo lkn iko siku yatakukuta na wewe.
Mbaguzi usie na adabu wala elimu
 
Wewe ni mpumbavu,Una stress za maisha.

Hiyo dini yako unafahamu chanzo chake au ?
.someni historia,Mbona wahindi na baniani watanzania hawalaumu nafasi za kazi
Wewe ndio una akili?
Muhindi na baniani ana asili na Tz?
Au ulisikia kuna muhindi anatafuta Ajira serikalini.?
Hivi nyie viumbe huwa mnapewa nini siku ya kuzaliwa? Lzm kuna kitu kinawadhuru manake hii sio kawaida jitu zima kuropoka namna hii.
 
Ilboru, Pugu na zingine nyingi sana za Kikristo zilitaifishwa ili na ninyi msome ila bado tu mnaishia kunawa na kubinuka

Tatizo lenu ni mfumo na hamtaki kujitathmini na kukubali
Acha kuandika Pumba.
Hizo Shule unazodai zilitaifushwa kipato chote cha shule kilikuwa kinakwenda Kanisani.
Mimi ni mmoja wa wanafunzi niliesoma shule ya catoliki iliodai kutaifishwa.
Miradi yote ya shule pesa walikuwa wanakusanya mapadri na maaskofu.
 
Hebu tuthibitishie kwa mifano.
Nitajie mawaziri wa elimu toka tumepata uhuru mpk leo kisha angalia km waislamu walifika hata 30%!
Sasa kwa akii zako ndogo unataka kunambia hakuna waislamu waliostahiki kuwa mawaziri wa Elimu miaka yooote hio ispokuwa nyie tu waabudu weekend!

Marehemu Pro .Kigoma Malima (Mungu amrehemu ampe Pepo ) alipochukua nafasi hio alifuta System ya kuandika majina kwenye mitihani baada ya kugundua kuwa Wanafunzi wenye majina ya Kiislamu walikuwa WANAFELISHWA kusudi.
Nae akapigwa vita sana tu na nyie nyie wala mbuzi katoliki.
Unyanyaswaji wa Waislamu umeanza toka baada ya Uhuru tu.
Hio Bakwata pia ilianzishwa na Nyerere kusudi kuudhoofisha UISLAMU na mpk leo Bakwata ni chanzo kikuu cha kusambaratisha waislamu na hakuna siku utaskia serikali ikiwataja bakwata kwa kosa lolote.
Sasa sidhani km inahitaji rocket science kutambua ukweli huu.
Tatizo nyie viumbe ni akili kuambiwa.
Unaambiwa "fungua ukurasa namba 4" unafungua . Unaambiwa "soma" unasoma.
Kisha funga macho tuombe.
Unaomba unatoa pesa unasamehewa dhambi unarudi nyumbani mwepeeesi ati huna dhambi tena.
Samaki wahed.
 
Dini ya kiarabu inaandaa watu kuwa wavivu, wapiga majungu na fitina. Hawafai katika uchumi wa kati

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
We bata mzinga.
Watoa ajira wanao ongoza hapa nchini ni Wala mbuzi katoliki?
Hapo ukijisachi umevaa chupi ya kiwanda cha Mo , Tv ya Mo .king'amuzi cha Baharesa
na mkeo km sio leo basi jana alilamba koni ya baharesa.

Basi kwa sababu domo ni lako unaamua kuhara ovyo?
Swain wahed
 
Acha kuandika Pumba.
Hizo Shule unazodai zilitaifushwa kipato chote cha shule kilikuwa kinakwenda Kanisani.
Mimi ni mmoja wa wanafunzi niliesoma shule ya catoliki iliodai kutaifishwa.
Miradi yote ya shule pesa walikuwa wanakusanya mapadri na maaskofu.
Dini ni biashara kubwa sana duniani ya matwilion ya hela yasio na kodi. Mfano, Vatican inaonekana ni nchi ndogo kieneo kule Italy lakini ndiyo nchi kubwa kieneo duniani. Wao wanahesabu kuwa kila eneo duniani ambalo lina kanisa, shule, hospitali au chochote kile cha Catholic ni sehemu ya Vatican na kila kitu kinachozalishwa hapo ni mali ya Vatican na lazima wahakikishe kuwa maslahi ya Vatican yanapatikana na kulindwa kwa gharama yoyote ikiwemo viongozi wa nchi hizo wanatambuliwa Vatican. Hivyo, watahakikisha kuwa wafuasi wengi zaidi wanapata elimu bora, wanaajiliwa ili kupata hela za kumudu kutoa sadaka na shukrsni ambazo zitakusanywa na kufikishwa Vatican. Vatican ni taifa ambao lina hela nyingi mno kutoka na tight governance yake hiyo inayowezesha kukusanya hela hata iliyokusanywa Nanjilinji na Mfaranyaki.

Saudi Arabia na Israel wanapata hela nyingi sana kutokana na dini. Watu wanapokwenda kuhiji wanakusanya hela nyingi sana zinazoingizwa kwenye bajeti zao. Hivyo watahakikisha kuwa dini enaenea na kuwawezesha waumini kuwa na kipato cha kuweza kutoa sadaka lakini na kumudu kwenda kuhiji pia.

Ukiona mtu anatumia dini kufanikisha mambo muogope sana, maana hata wakoloni wetu walitumia mbinu hizohizo kuficha ubaya wao.
 
Acha kuandika Pumba.
Hizo Shule unazodai zilitaifushwa kipato chote cha shule kilikuwa kinakwenda Kanisani.
Mimi ni mmoja wa wanafunzi niliesoma shule ya catoliki iliodai kutaifishwa.
Miradi yote ya shule pesa walikuwa wanakusanya mapadri na maaskofu.
Dini ni biashara kubwa sana duniani ya matwilion ya hela yasio na kodi. Mfano, Vatican inaonekana ni nchi ndogo kieneo kule Italy lakini ndiyo nchi kubwa kieneo duniani. Wao wanahesabu kuwa kila eneo duniani ambalo lina kanisa, shule, hospitali au chochote kile cha Catholic ni sehemu ya Vatican na kila kitu kinachozalishwa hapo ni mali ya Vatican na lazima wahakikishe kuwa maslahi ya Vatican yanapatikana na kulindwa kwa gharama yoyote ikiwemo viongozi wa nchi hizo wanatambuliwa Vatican. Hivyo, watahakikisha kuwa wafuasi wengi zaidi wanapata elimu bora na wanaajiliwa ili kupata hela za kumudu kutoa sadaka na shukrsni (sehemu ya 10) ambazo zitakusanywa na kufikishwa Vatican. Vatican ni taifa ambao lina hela nyingi mno kutokana na tight governance yake hiyo inayowezesha kukusanya hela hata iliyokusanywa Nanjilinji na Mfaranyaki.

Saudi Arabia na Israel wanapata hela nyingi sana kutokana na dini. Watu wanapokwenda kuhiji wanakusanya hela nyingi sana zinazoingizwa kwenye bajeti zao. Hivyo watahakikisha kuwa dini inaenea na kuwawezesha waumini wengi kuwa na kipato cha kuweza kutoa sadaka lakini pia na kumudu kwenda kuhiji na wao kukusanya hela nyingi sana.

Hivyo Rais wetu ajae lazima atambue kuwa dini hizi ni matawi na vyombo vya wakoloni na unyonyaji. Lazima watoze kodi kwerikweri hata kwenye shughuli za kidini na ardhi zinazokaliwa na watu wa dini. Lazima watatumbue kuwa dini hizi zilikuja pamoja na watu ambao sio wema, wezi na wahujumu uchumi wa nchi zetu. Watu hawa wa dini walikuwa wanaishi kwenye mtaa mmoja, kula, kunywa na kusali pamoja na wakoloni bila kukemea maovu yaliyokuwa yakifanywa na wakoloni. Ni rafiki zao hawa, tusijisahau kuwa wakati waarabu wanakamata watumwa kwa nguvu, humo njiani kwenye msafara walikuwa wanapata muda wa kuswali kabla ya kuendelea na safari kuelekea Bagamoyo sokoni. Sio wema hawa. Tujitambue.

Dini hizi zinapigana kufa na kupona kuhakikisha viongozi wetu wanatambulika vema kwao, tulishuhudia Rais Kikwete (muislamu) akilazimika kwenda kusimika maaskofu, hii haikuwa bahati mbaya.
 
Dini ni biashara kubwa sana duniani ya matwilion ya hela yasio na kodi. Mfano, Vatican inaonekana ni nchi ndogo kieneo kule Italy lakini ndiyo nchi kubwa kieneo duniani. Wao wanahesabu kuwa kila eneo duniani ambalo lina kanisa, shule, hospitali au chochote kile cha Catholic ni sehemu ya Vatican na kila kitu kinachozalishwa hapo ni mali ya Vatican na lazima wahakikishe kuwa maslahi ya Vatican yanapatikana na kulindwa kwa gharama yoyote ikiwemo viongozi wa nchi hizo wanatambuliwa Vatican. Hivyo, watahakikisha kuwa wafuasi wengi zaidi wanapata elimu bora na wanaajiliwa ili kupata hela za kumudu kutoa sadaka na shukrsni (sehemu ya 10) ambazo zitakusanywa na kufikishwa Vatican. Vatican ni taifa ambao lina hela nyingi mno kutokana na tight governance yake hiyo inayowezesha kukusanya hela hata iliyokusanywa Nanjilinji na Mfaranyaki.

Saudi Arabia na Israel wanapata hela nyingi sana kutokana na dini. Watu wanapokwenda kuhiji wanakusanya hela nyingi sana zinazoingizwa kwenye bajeti zao. Hivyo watahakikisha kuwa dini inaenea na kuwawezesha waumini wengi kuwa na kipato cha kuweza kutoa sadaka lakini pia na kumudu kwenda kuhiji na wao kukusanya hela nyingi sana.

Hivyo Rais wetu ajae lazima atambue kuwa dini hizi ni matawi na vyombo vya wakoloni na unyonyaji. Lazima watoze kodi kwerikweri hata kwenye shughuli za kidini na ardhi zinazokaliwa na watu wa dini. Lazima watatumbue kuwa dini hizi zilikuja pamoja na watu ambao sio wema, wezi na wahujumu uchumi wa nchi zetu. Watu hawa wa dini walikuwa wanaishi kwenye mtaa mmoja, kula, kunywa na kusali pamoja na wakoloni bila kukemea maovu yaliyokuwa yakifanywa na wakoloni. Ni rafiki zao hawa, tusijisahau kuwa wakati waarabu wanakamata watumwa kwa nguvu, humo njiani kwenye msafara walikuwa wanapata muda wa kuswali kabla ya kuendelea na safari kuelekea Bagamoyo sokoni. Sio wema hawa. Tujitambue.

Dini hizi zinapigana kufa na kupona kuhakikisha viongozi wetu wanatambulika vema kwao, tulishuhudia Rais Kikwete (muislamu) akilazimika kwenda kusimika maaskofu, hii haikuwa bahati mbaya.
Unamix madesa mzee
 
Dini ni biashara kubwa sana duniani ya matwilion ya hela yasio na kodi. Mfano, Vatican inaonekana ni nchi ndogo kieneo kule Italy lakini ndiyo nchi kubwa kieneo duniani. Wao wanahesabu kuwa kila eneo duniani ambalo lina kanisa, shule, hospitali au chochote kile cha Catholic ni sehemu ya Vatican na kila kitu kinachozalishwa hapo ni mali ya Vatican na lazima wahakikishe kuwa maslahi ya Vatican yanapatikana na kulindwa kwa gharama yoyote ikiwemo viongozi wa nchi hizo wanatambuliwa Vatican. Hivyo, watahakikisha kuwa wafuasi wengi zaidi wanapata elimu bora na wanaajiliwa ili kupata hela za kumudu kutoa sadaka na shukrsni (sehemu ya 10) ambazo zitakusanywa na kufikishwa Vatican. Vatican ni taifa ambao lina hela nyingi mno kutokana na tight governance yake hiyo inayowezesha kukusanya hela hata iliyokusanywa Nanjilinji na Mfaranyaki.

Saudi Arabia na Israel wanapata hela nyingi sana kutokana na dini. Watu wanapokwenda kuhiji wanakusanya hela nyingi sana zinazoingizwa kwenye bajeti zao. Hivyo watahakikisha kuwa dini inaenea na kuwawezesha waumini wengi kuwa na kipato cha kuweza kutoa sadaka lakini pia na kumudu kwenda kuhiji na wao kukusanya hela nyingi sana.

Hivyo Rais wetu ajae lazima atambue kuwa dini hizi ni matawi na vyombo vya wakoloni na unyonyaji. Lazima watoze kodi kwerikweri hata kwenye shughuli za kidini na ardhi zinazokaliwa na watu wa dini. Lazima watatumbue kuwa dini hizi zilikuja pamoja na watu ambao sio wema, wezi na wahujumu uchumi wa nchi zetu. Watu hawa wa dini walikuwa wanaishi kwenye mtaa mmoja, kula, kunywa na kusali pamoja na wakoloni bila kukemea maovu yaliyokuwa yakifanywa na wakoloni. Ni rafiki zao hawa, tusijisahau kuwa wakati waarabu wanakamata watumwa kwa nguvu, humo njiani kwenye msafara walikuwa wanapata muda wa kuswali kabla ya kuendelea na safari kuelekea Bagamoyo sokoni. Sio wema hawa. Tujitambue.

Dini hizi zinapigana kufa na kupona kuhakikisha viongozi wetu wanatambulika vema kwao, tulishuhudia Rais Kikwete (muislamu) akilazimika kwenda kusimika maaskofu, hii haikuwa bahati mbaya.
Unamix madesa mzee
 
Dini ni biashara kubwa sana duniani ya matwilion ya hela yasio na kodi. Mfano, Vatican inaonekana ni nchi ndogo kieneo kule Italy lakini ndiyo nchi kubwa kieneo duniani. Wao wanahesabu kuwa kila eneo duniani ambalo lina kanisa, shule, hospitali au chochote kile cha Catholic ni sehemu ya Vatican na kila kitu kinachozalishwa hapo ni mali ya Vatican na lazima wahakikishe kuwa maslahi ya Vatican yanapatikana na kulindwa kwa gharama yoyote ikiwemo viongozi wa nchi hizo wanatambuliwa Vatican. Hivyo, watahakikisha kuwa wafuasi wengi zaidi wanapata elimu bora na wanaajiliwa ili kupata hela za kumudu kutoa sadaka na shukrsni (sehemu ya 10) ambazo zitakusanywa na kufikishwa Vatican. Vatican ni taifa ambao lina hela nyingi mno kutokana na tight governance yake hiyo inayowezesha kukusanya hela hata iliyokusanywa Nanjilinji na Mfaranyaki.

Saudi Arabia na Israel wanapata hela nyingi sana kutokana na dini. Watu wanapokwenda kuhiji wanakusanya hela nyingi sana zinazoingizwa kwenye bajeti zao. Hivyo watahakikisha kuwa dini inaenea na kuwawezesha waumini wengi kuwa na kipato cha kuweza kutoa sadaka lakini pia na kumudu kwenda kuhiji na wao kukusanya hela nyingi sana.

Hivyo Rais wetu ajae lazima atambue kuwa dini hizi ni matawi na vyombo vya wakoloni na unyonyaji. Lazima watoze kodi kwerikweri hata kwenye shughuli za kidini na ardhi zinazokaliwa na watu wa dini. Lazima watatumbue kuwa dini hizi zilikuja pamoja na watu ambao sio wema, wezi na wahujumu uchumi wa nchi zetu. Watu hawa wa dini walikuwa wanaishi kwenye mtaa mmoja, kula, kunywa na kusali pamoja na wakoloni bila kukemea maovu yaliyokuwa yakifanywa na wakoloni. Ni rafiki zao hawa, tusijisahau kuwa wakati waarabu wanakamata watumwa kwa nguvu, humo njiani kwenye msafara walikuwa wanapata muda wa kuswali kabla ya kuendelea na safari kuelekea Bagamoyo sokoni. Sio wema hawa. Tujitambue.

Dini hizi zinapigana kufa na kupona kuhakikisha viongozi wetu wanatambulika vema kwao, tulishuhudia Rais Kikwete (muislamu) akilazimika kwenda kusimika maaskofu, hii haikuwa bahati mbaya.
Story ndeeefu km mkojo wa mlevi lkn haina ukweli wwt ndani yake.
 
Back
Top Bottom