Rais ajaye akerwe na udini kwa vitendo

Dini/iman haikuwahi na haiwezi kuwa identity ya mtu hata kidogo. Kitendo cha kusimamia misingi ya imani /dini katika taifa ni sehemu ya madhaifu ya hao tuliowapa mamlaka.....

Aisee huwa nachukia sana kuona viongozi wetu wanendekeza huu utomvu wa nidhamu katika ofisi ya jumuiya.....

Kuna siku niliona aibu sana askari walikuwa wamekaa pamoja wanakemea ndani ya kituo cha polisi..... Ile kitu sikuipenda hata kidogo....

Pia kuna askari m'moja nadhani kwa sasa amefariki, MUNGU amrehemu..... Alikuwa anapiga kaswida huku kavaa jezi za jeshi la polisi.... Aisee nilisikia fedheha kubwa sana...

Kuwa tunawafunza nini watoto wetu.... Hiki wanachokiona kwetu ndicho watakuja kukirudia na kitawaletea mitafaruku mikubwa sana.....

Ni marufuku kufanya siasa na shughuli za kiserikali zenye mlengo wa kidini, kiimani, kikabila au rangi.... Sio vizuri
 
Unaongea kujifurahisha alafu ukale kitimoto, jiulize enzi hizo kwanini ulibadilishwa mfumo wa mitihani kutoka jina kwenda kwenye namba? Jiulize ile tume iliyoundwa na jk kipindi kile kupima ufaulu wa wanafunzi katika dini ya kiisalm walikuja na majibu gani?

Na ndio silaha yenu eti waislam hawajasoma ndio maana hawateuliwi, hakuna uthibitisho juu ya hili angalia msomi kama prof assad alivyovuliwa cheo chake unadhani kisa nini? Kumbuka Ramadhani dau alikuwa anashambuliwa nini?
Umesema vyema lakini hapo kwenye kiti Moto ni kama vile hiyo ndo sababu Prof Assad alitumbuliwa kwasababu hatafuni yule mdudu pendwa!
 
Dini/iman haikuwahi na haiwezi kuwa identity ya mtu hata kidogo. Kitendo cha kusimamia misingi ya imani /dini katika taifa ni sehemu ya madhaifu ya hao tuliowapa mamlaka.....

Aisee huwa nachukia sana kuona viongozi wetu wanendekeza huu utomvu wa nidhamu katika ofisi ya jumuiya.....

Kuna siku niliona aibu sana askari walikuwa wamekaa pamoja wanakemea ndani ya kituo cha polisi..... Ile kitu sikuipenda hata kidogo....

Pia kuna askari m'moja nadhani kwa sasa amefariki, MUNGU amrehemu..... Alikuwa anapiga kaswida huku kavaa jezi za jeshi la polisi.... Aisee nilisikia fedheha kubwa sana...

Kuwa tunawafunza nini watoto wetu.... Hiki wanachokiona kwetu ndicho watakuja kukirudia na kitawaletea mitafaruku mikubwa sana.....

Ni marufuku kufanya siasa na shughuli za kiserikali zenye mlengo wa kidini, kiimani, kikabila au rangi.... Sio vizuri
Watu ni wagumu sana kuelewa, yaani inakera sana.
 
Umesema vyema lakini hapo kwenye kiti Moto ni kama vile hiyo ndo sababu Prof Assad alitumbuliwa kwasababu hatafuni yule mdudu pendwa!
Yaani saga la Prof Assad tulilishuhidia mwanzo Hadi mwisho, kuita Bunge dhaifu, Bifu na Ndugai likafuatia, Magufuli akamuondoa na kumpiga vijembe, hapa Dini iliingiaje?
 
Ushauri kwenu nyie wa hiyo dini
1) kuwekeza kwenye elimu ya mtoto wako sio lazima uwe umeajiriwa na kulipwa posho za semina kama ulivyosema hapo juu. Sasa ivi watu wengi wanajishughulisha na biashara pamoja na kilimo ambazo zinawaingizia pesa nyingi tu. So kuwekeza kwenye elimu ni wewe mwenyewe tu

2) Zanzibar mpo karibu 99% ya watu wote wanaoishi huko na hivyo dini hiyo ndio waliojaa kwenye hizo ofisi huko zanzbar, sasa kwa nn msiwe mfano huko zenj kwa kuwekeza kwenye elimu ikiwa nyie mpo wengi sana kwenye ajira huko?? Hebu tueleze hadi sasa mna vyuo vikuu vingapi na bora?

3) Top 10 ya matajiri waliopo Tanzania mpo nyie wote wa hiyo dini, kwa nn msikae nao chini hawa matajiri mkawaomba wawekeze pia kwenye kujenga shule za kisasa pamoja na vyuo vya kisasa ili waweze kusaidia watu maskini wa dini hiyo na wasio na uwezo wa kulipa ada?

4) Wenzenu kwenye ibada wanachangishana hadi leo kwa ajili ya ujenzi wa kujenga shule za awali na za sekondari, na sadaka huwa hadi mara mbili na baada ya hapo wanatafuta pori huko wananunua wanajenga. Na nyie kwenye ibada mchangishane michango kwa ajiki ya ujenzi wa shule za awali na sekondari

5) Hayo juu yanawezekana ikiwa tu mtabadilisha uongozi kwenye nyumba zenu za ibada, kiongozi wenu wa dini asipimwe tu kwa kuijua dini vizuri bali pia awe ana elimu dunia ya kutosha ili kuweza kuwaweka sawa katika kufikia hayo hapo juu.
Kwenye dini fulani hivi dhehebu fulani hivi huwezi kuwa kiongozi wao kama huna elimu( degree ndio minimum)

6) Ukiwa huna uwezo kifedha lakini una akili kichwani basi utatoboa tu.
- mtihani wa darasa la 7 umefaulu vizuri utangiwa sekondari ya serikali kwenye ada ndogo kabisa
- sekondari ukifaulu vizuri pia utapangiwa high school nzuri tu ya serikali kwemye ada ndogo
- high school ukifaulu vizuri tu, utapangiwa chuo cha serikali kizuri tu na mkopo utapewa

7) Point namba 6: kama kwenye dini yenu hakuna watu wengi wanaoweza kufaulu sana basi hili tatizo sio la sirikali bali ni.....
Na kama wanafaulu sana basi inawezekana mpo wachache sana kwenye nchi kwa maana let say mpo jumla ya wanafunzi mil 2 nchini, wenye uwezo wa kufaulu sana moja kwa moja mpo mil 1 na wenzenu let say wapo wanafunzi mil 10 na wanaoweza kufaulu moja kwa moja wapo mil 4, jua tu mtamezwa

8)Dhana ya dini flani wamejaa sana maofisini inaweza kuwa kweli lakini pengine si sababu ya dini yao, kwa sababu mm na jamaa zangu ni wa hiyo dini na tumefaulu vizuri tu na tuna elimu nzuri ila hadi leo tume-suffer sana kupata hizo nafasi lakini hamna kitu. Hakuna atayekusaidia au kukupigia pande kisa wewe ni dini yake
Bali
Anaweza kukusaidia, kukupigia pande, kukupa connection kama wewe ni kabila lake na tu ni ndugu wa karibu ( mtoto wa mjomba, shangazi, mama mkubwa, baba mdogo n.k).
Umeongea vizuri comrade, hii mijamaa haitaacha kulalamika mpaka kiama nikikumbuka nilivyo struggle toka mdogo kijijini sina ndugu kigogo au mwenye fedha nikapata kaajira halafu kuna jitu linasema hii nchi ina upendeleo wa kidini nabaki nashangaa kama jitu lina akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
professionalism kivepee? walioajiriwa, wenye profession ndio mafisadi, ndio wala rushwa, na ndio watunga sera mbovu kwa manufaa ya kikundi fulani. Kwahiyo wewe unaona mafisadi, wala rushwa na watunga sera mbovu wawe wa jamii moja pendwa?
So kama wataalamu ni wezi na wala rushwa serikali iajiri kwa kigezo cha dini? Mbona hata misikitini na makanisani kuna makasisi, mashek wala rushwa, wezi na wazizi!!
 
Ninyi si ndio huwa mnahubiri na kurekodi kisha mnasambaza CD's za chuki juu ya Wakristo na mnaendesha mikutano misikitini kutujadili sisi Makafiri?

Hizo Chuki zenu ndizo zinazowafanya msiendelee

Mpo radhi kuwalipua Wakristo ili mbaki ninyi ambao waislam wenzenu tu ndio ndugu zenu.

Mpaka karate & Judo mnafundishana humo misikitini.

Nitajie Mtumishi yeyote wa kikristo aliyewahi kuwadhihaki Waislam kama walivyofanya akina Sheikh Ilunga.

Hamwezi kuendelea kwa namna hiyo Mwenyezi Mungu anatutetea.
Sasa ilunga chuki gani alie sema zaidi kusema ukweli kuhusu nchi hii inavyoendeshwa chini ya kanisa kama vipi tafuta lukuvi alisema nini kanisani kuhusu zanzibar na muungano ndio utajua kama wakiristo wanaleta chuki au laa
 
Umeongea vizuri comrade, hii mijamaa haitaacha kulalamika mpaka kiama nikikumbuka nilivyo struggle toka mdogo kijijini sina ndugu kigogo au mwenye fedha nikapata kaajira halafu kuna jitu linasema hii nchi ina upendeleo wa kidini nabaki nashangaa kama jitu lina akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huwezi kuelewa machungu ya waislamu kwa sababu mfumo una kufavour, utawafavour na watoto wako na wajukuu wako.
Kwa rekodi nchini zilivyo, ni rahisi mkiristo kuitwa kwenye interview, kupata ajira na kuteuliwa nafasi za juu kuliko muislamu.

Leo kwenye utumishi wa umma waislamu ni wachache mno, uchache huo unashtua.
Ni lazima hili suala litafutiwe suluhisho la sivyo hili ni bomu linalosubiri kulipuka!
 
Ndugu zetu hawawezi kuwa sawa na sisi. Tatizo lao kubwa, wanawafundisha zaidi vijana wao Elimu Ahera zaidi ya Elimu Dunia. Si Jambo baya, lakin wanakosa ujuzi kutokana na kuwa na Elimu ndogo. Nakubali kuwa, wengi wao waliobahatika kutoboa, wako vizuri kichwani and their good leaders japo itikadi huwa zinawazidi.

Chukulia mfano, Kati ya wanafunzi mia mbili wa Udaktari wanaodahiliwa kila Mwaka na Chuo Kama Muhimbili, Hawa ndugu zetu huwa hawazidi ishirini.

Na si kwamba wanabaniwa, Ila ufaulu wao mdogo unawanyima fursa sawa ya kudahiliwa. Nawashauri, wajifunze kwetu, nguvu wanayotumia kujenga nyumba nzuri za ibada hapa mjini, wazitumie pia kujenga shule Bora Kama za kwetu. Kwa elimu za Ubungo Seminary hawawezo kushindana na Msolwa.

Asante.
Sio kweli, kwamba elimu za waislam ni ndogo, ishu hata kudahiliwa huko unakokusemea kuna upendeleo
 
So kama wataalamu ni wezi na wala rushwa serikali iajiri kwa kigezo cha dini? Mbona hata misikitini na makanisani kuna makasisi, mashek wala rushwa, wezi na wazizi!!
Kumbe unaitetea rushwa?
Basi itakuwa na wewe ni miongoni mwa wala rushwa
 
Basi Zanzibar ingetakiwa iwe imeendelea sana, Kama tatizo la Tz Ni Wakristo
Itaendeleaje na nyie wakristo wa bara ndio mlioitawala Zanzibar?

Mkitaka Tanzania iendelee acheni kula Rushwa, ubaguzi, ufisadi na acheni maovu yote... ndio TZ itaendelea

Mkiendelea kujifanya wajuaji kuliko Mungu aliyowaumba, TZ itaendelea kubaki nyuma na umasikini utaendelea mpaka siku ya kiyama
 
Itaendeleaje na nyie wakristo wa bara ndio mlioitawala Zanzibar?

Mkitaka Tanzania iendelee acheni kula Rushwa, ubaguzi, ufisadi na acheni maovu yote... ndio TZ itaendelea

Mkiendelea kujifanya wajuaji kuliko Mungu aliyowaumba, TZ itaendelea kubaki nyuma na umasikini utaendelea mpaka siku ya kiyama
Mzee mbona mikoa yenye Waislam wengi ndio Ni masikini kuliko yote? mikoa Kama Lindi, Pwani, Mtwara ?
 
Huwezi kuelewa machungu ya waislamu kwa sababu mfumo una kufavour, utawafavour na watoto wako na wajukuu wako.
Kwa rekodi nchini zilivyo, ni rahisi mkiristo kuitwa kwenye interview, kupata ajira na kuteuliwa nafasi za juu kuliko muislamu.

Leo kwenye utumishi wa umma waislamu ni wachache mno, uchache huo unashtua.
Ni lazima hili suala litafutiwe suluhisho la sivyo hili ni bomu linalosubiri kulipuka!
Kweli wewe ni bomu la taifa,sasa kwa taarifa yako nchi hii haijafika huko unakosema mimi pamoja na marafiki zangu wa Islamu tuliajiriwa miaka ya nyuma kidogo na ninaamini tulichaguliwa kwa rehema za Mungu,sifa zilizohitajika na uhitaji wa serikali kwani kwasasa nina wadogo zangu ambao hawajaajiriwa lakini silaumu mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wewe ni bomu la taifa,sasa kwa taarifa yako nchi hii haijafika huko unakosema mimi pamoja na marafiki zangu wa Islamu tuliajiriwa miaka ya nyuma kidogo na ninaamini tulichaguliwa kwa rehema za Mungu,sifa zilizohitajika na uhitaji wa serikali kwani kwasasa nina wadogo zangu ambao hawajaajiriwa lakini silaumu mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app

sasa ulidhani tukisema waislamu wanabaguliwa kwenye ajira tunamaanisha wapo 0% kwenye utumishi wa umma na serikalini? - Tunamaanisha wako Kidogo mno mpaka inaleta maswali mengi yasiyo na majibu.

Why Muslims are so few in public service?
 
sasa ulidhani tukisema waislamu wanabaguliwa kwenye ajira tunamaanisha wapo 0% kwenye utumishi wa umma na serikalini? - Tunamaanisha wako Kidogo mno mpaka inaleta maswali mengi yasiyo na majibu.

Why Muslims are so few in public service?
Kwa takwimu zipi ulizonazo,wapi muislamu mwenye sifa ya kuajiriwa aliachwa kwasababu ya dini yake au upo hapa kwaajiri ya kulaumu tu,tukianza na wewe mwenyewe CV yako ipoje mpaka unaachwa na Wakristo wanapendelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa takwimu zipi ulizonazo,wapi muislamu mwenye sifa ya kuajiriwa aliachwa kwasababu ya dini yake au upo hapa kwaajiri ya kulaumu tu,tukianza na wewe mwenyewe CV yako ipoje mpaka unaachwa na Wakristo wanapendelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Anza na teuzi tu za awamu hii kisha ulete majibu kwa nini teuzi zinanuka udini?
Kwa nini waislamu wanaoteuliwa ni wachache wakati wenye elimu hadi PhD na vigezo vingine mamlaka za uteuzi haziwaoni zinaona Wakiristu kwa wingi kupita kiasi kuliko waislamu?
 
Anza na teuzi tu za awamu hii kisha ulete majibu kwa nini teuzi zinanuka udini?
Kwa nini waislamu wanaoteuliwa ni wachache wakati wenye elimu hadi PhD na vigezo vingine mamlaka za uteuzi haziwaoni zinaona Wakiristu kwa wingi kupita kiasi kuliko waislamu?
Shida sio nani anateuliwa wapi Bali shida ziko 2. Ya kwanza Ni maamuzi yanayofanywa na walioteuliwa/kuajiriwa yanayowaathiri jamii iliyoachwa kwenye teuzi, pili Ni uwekezaji unaofanywa na walioteuliwa/ajiriwa kwa kutumia mishahara, posho na urahisi wa kukooa mikopo ujiwa muajiriwa
 
Anza na teuzi tu za awamu hii kisha ulete majibu kwa nini teuzi zinanuka udini?
Kwa nini waislamu wanaoteuliwa ni wachache wakati wenye elimu hadi PhD na vigezo vingine mamlaka za uteuzi haziwaoni zinaona Wakiristu kwa wingi kupita kiasi kuliko waislamu?
Huu ndio wimbo wenu miaka yote,ndio maana hutasikia mkristo analalamika pindi marais waislamu wanapoongoza, kwasababu hatuamini kama wanaoteuliwa wanateuliwa kwa udini bali kwa uwezo wao zamu ikifika yeyote anaweza pata nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom