Rais ajaye akerwe na udini kwa vitendo

Rais ajaye akerwe na udini kwa vitendo

I dont believe kwenye uwiano wa kidini. Tunawapa watu wasiojiweza wala kufaa nafasi za kutuongoza kisa dini zilingane au ziwe sawa. Dunia yetu ilivyo, hata kwenye kila dini, the rule of jungle applies. Kama mtu mvivu, hajiwezi au hana sifa za kuongoza au kufanya kazi fulani, kwanini apewe kazi hiyo?
Hiyo sio kweli, kwenye uongozi Ni trial and error na kutegemea anaemteua anataka nn. Mfano, mh. Kange lugola aliteuliwa kutokana na uwezo au kutokana na nini? Mbona alitumbuliwa? Unasema uongo hapo
 
Kwa nini mijadala yenye chembe chembe za udini zinaibuka kila unapokaribia Uchaguzi? Na wanaolalamika sana ni ndugu zetu katika Imaan
Hata mwl alipokuwa akitahadharisha watu kuhusu nyufa ilikuwa karibu na uchaguzi. Moja kati ya nyufa alizosema udini ulikuwemo.
 
Ndugu zetu hawawezi kuwa sawa na sisi. Tatizo lao kubwa, wanawafundisha zaidi vijana wao Elimu Ahera zaidi ya Elimu Dunia. Si Jambo baya, lakin wanakosa ujuzi kutokana na kuwa na Elimu ndogo. Nakubali kuwa, wengi wao waliobahatika kutoboa, wako vizuri kichwani and their good leaders japo itikadi huwa zinawazidi.

Chukulia mfano, Kati ya wanafunzi mia mbili wa Udaktari wanaodahiliwa kila Mwaka na Chuo Kama Muhimbili, Hawa ndugu zetu huwa hawazidi ishirini...
Kinachoangaliqa ktk jamii yyt ya waungwana ni Ubora wa huduma ya mtu ktk jamii yake na sio wingi watu.

Unadai nyie msiotaka kujifunza kuhusu maisha ya akhera mmesoma sana. Sasa mbona hujasema Wale MAFISADI Wote walio ihujumu Nchi hii wametokea kwenu?

Mabilioni mangapi ya Watanzania maskini mmeiba? Wagonjwa wangapi Wamekufa kwa kukosa dawa tu kwa sababu kuna muefeso alikuwa anakwiba pale Muhimbili mamilioni ya Fedha? Watoto wangapi wamekosa elimu kwa Ufisadi mlioufanya Wizara ya Elimu.?

Sasa hao vijana wenye Elimu ya Madrasa wakipewa Idara at least watawaangalia wanyonge kwa Jicho la Huruma na Wakimuogopa Mungu ktk utendaji wao wa Kazi Nyie wenzetu sio Kuiba serikalini tu Hata ktk majumba yenu ya Ibada Mnaibia maskini KILA WEEKEND kwa kuwaahidi mtawaombea wafanikiwe. Mara upepo wa kisulisuli utawajia, mara mtawaponya corona. Yoote hio mnataka Fungu la 10 tu.

Sasa serikali inajua hivyo na nadhani Rais wa sasa atalifanyia kazi kwa kutambua kuwa Kuna mijitu inakuja na makaratasi ya kuja KUIBIA SERIKALI na kudhulumu Watanzania Wanyonge yakiitwa "masters " na Degrees".

Mungu awalaani hawa mafisadi popote pale walipo.
Sema "Amen" ndugu muefeso
 
Waislam ni kama walemavu wanalalamika sana, hata kwa vitu visivyo na msingi. ningeshauri uislam/ waislam nao wawe miongoni mwa special group hapa Tanzania na duniani wawe wanapatiwa mahitaji maalumu.

Wenyewe ndiyo wabaguzi balaa ila ndiyo wa kwanza kulalamika.

Nenda kule Moro kwenye chuo kikuu chao MUM au kwenye seminary zao kumejaa ubaguzi wa kidini.
 
Ndugu zetu hawawezi kuwa sawa na sisi. Tatizo lao kubwa, wanawafundisha zaidi vijana wao Elimu Ahera zaidi ya Elimu Dunia. Si Jambo baya, lakin wanakosa ujuzi kutokana na kuwa na Elimu ndogo. Nakubali kuwa, wengi wao waliobahatika kutoboa, wako vizuri kichwani and their good leaders japo itikadi huwa zinawazidi...
Dah..

Ila sawa....
 
Wengi wanaolalamika ni incompetent. Wanataka watumie kigezo ambacho hakipo popote pale kupata kazi. Nani kasema kazi zinagawanywa kwa kuangalia dini ya mtu? Haya mawazo muflisi. Wanaoyashadadia ni losers
Naunga mkono hoja.
 
Kuna Haja kwa waislamu kuangalia uongozi wao (BAKWATA). Je, unasimamia ipasavyo maslahi ya Waislamu au ni kikundi cha waganga njaa tuu wenye kuangalia matumbo yao? Bila ya kuwa na uongozi imara iwe BAKWATA au hata mbadala ambao una nia ya dhati, manung'uniko yataendelea tuu.
 
Waislam ni kama walemavu wanalalamika sana, hata kwa vitu visivyo na msingi. ningeshauri uislam/ waislam nao wawe miongoni mwa special group hapa Tanzania na duniani wawe wanapatiwa mahitaji maalumu.

Wenyewe ndiyo wabaguzi balaa ila ndiyo wa kwanza kulalamika.

Nenda kule Moro kwenye chuo kikuu chao MUM au kwenye seminary zao kumejaa ubaguzi wa kidini.
Assume rais muislamu kila teuzi ateue 90% ya waislamu na only 10% Wakiristo halafu akwambie hawa ninaowateua wana vigezo vyote na wachapakazi, halafu lete mrejesho hapa uone reaction yake kutoka kwa wakiristo nchini ukiwemo wewe!

Tatizo ni kwamba wakiristo wameshajiona hii nchi wao ndo wanastahili sana na wengine wote ni kama hawadeserve hivi, ndiyo maana they don't care udini wa waziwazi na ubaguzi wa dhahiri dhidi ya waislamu kwenye teuzi na ajira
 
Assume rais muislamu kila teuzi ateue 90% ya waislamu na only 10% Wakiristo halafu akwambie hawa ninaowateua wana vigezo vyote na wachapakazi, halafu lete mrejesho hapa uone reaction yake kutoka kwa wakiristo nchini ukiwemo wewe!

Tatizo ni kwamba wakiristo wameshajiona hii nchi wao ndo wanastahili sana na wengine wote ni kama hawadeserve hivi, ndiyo maana they don't care udini wa waziwazi na ubaguzi wa dhahiri dhidi ya waislamu kwenye teuzi na ajira

Kama hao waislam wanakidhi vigezo shida iko wapi?

Mkuu wa nchi hawezi fanya uteuzi hata kwa watu wasio na vigezo eti kisa kuleta balance Kati ya waislam na wakristo.

Zipo nchi ambazo mgawanyo wa vyeo unaangalia dini lakini sio Tanzania.
Huku hatuangalii sura, kabila, wala DINI ila mwenye vigezo vinavyofaa (kwa maono ya mteuaji) anapewa nafasi.
 
Kinachoangaliqa ktk jamii yyt ya waungwana ni Ubora wa huduma ya mtu ktk jamii yake na sio wingi watu.

Unadai nyie msiotaka kujifunza kuhusu maisha ya akhera mmesoma sana.
Sasa mbona hujasema Wale MAFISADI Wote walio ihujumu Nchi hii wametokea kwenu?

Mabilioni mangapi ya Watanzania maskini mmeiba?
Wagonjwa wangapi Wamekufa kwa kukosa dawa tu kwa sababu kuna muefeso alikuwa anakwiba pale Muhimbili mamilioni ya Fedha ?
Watoto wangapi wamekosa elimu kwa Ufisadi mlioufanya Wizara ya Elimu...
Binafsi huwa naheshimu Uhuru wa kuabudu na kuamini. Ndio maana Nina ndugu wa damu na marafiki ambao Ni waumini wa dini ya mtume, na tunaheshimiana na kupeana michongo.

Kuhusu Ufisadi, Hilo halina Dini Kaka. Fisadi anaweza kuwa Mkristo au Muislamu. Ndio maana wapo akina Singh wa IPTL na mwanajumuiya mwenzangu Rugemalira. All in all mchawi wa Muislamu Ni Muislamu mwenyewe.
 
Hiyo sio kweli, kwenye uongozi Ni trial and error na kutegemea anaemteua anataka nn. Mfano, mh. Kange lugola aliteuliwa kutokana na uwezo au kutokana na nini? Mbona alitumbuliwa? Unasema uongo hapo
Sababu bungeni kulijaa watu wasiosomeka. Ndio maana mawaziri wengi wa maeneo nyeti sio wa kutoka majimboni.
 
Binafsi huwa naheshimu Uhuru wa kuabudu na kuamini. Ndio maana Nina ndugu wa damu na marafiki ambao Ni waumini wa dini ya mtume, na tunaheshimiana na kupeana michongo.
Kuhusu Ufisadi, Hilo halina Dini Kaka. Fisadi anaweza kuwa Mkristo au Muislamu. Ndio maana wapo akina Singh wa IPTL na mwanajumuiya mwenzangu Rugemalira. All in all mchawi wa Muislamu Ni Muislamu mwenyewe.
Hii kauli yako ni km methali lkn Hapq Tz hakuna asiejua Mafisadi walikuwa ni kina nani. Umeshawahi kusikia shehe fulani kapiga milion kadhaa serikalini?

Sasa turudi upande wa pili. Mafisadi wengine walishatangulia mbele ya Haki. Kuwataja hapa sio sahih lkn wanajulikana. Maafisa wakubwa wa serikali waliohujumu taifa letu 99% ni hao hao wa Ibada za weekend. Huyo patel na wenzake ni less than 0.1%.

Huo ndio ukweli na km wewe unapendelea taifa lako sema kweli ili hawa mafisadi waona kumbe sio wakristo wote wanasapoti wizi. Kuna kina Ad majorem wanapinga na wao pia wanaabudu weekend km sisi.
 
Kwani wasukuma na wachaga Nani Ni wengi kwenye jamii ya Tanzania? Kwenye ajira pia kuko hivyo? au wanaitana hata kwa kazi za kufagia ofisi na kufyeka majani wizarani?
Kwa hiyo wewe umefanya sensa ukaona ni wepi wengi? Na kwenye Ajira wapoje? Hebu acha Kona Kona ongea straight hapa Ni JF Mzee tuna ID fake unaogopa Nini Kama una point unazoamini Ni valid?
 
Huko primary kwakuwa Ni bure hakuna malipo utakuta uwiano unakaribiana, ukienda secondary makundi yanaaza kujitokeza ghafla kutokana na purchasing power ya wazazi. Wenye ajira, na wanaoweza kukopa kwenye vyombo vya fedha wanamudu kugharamia ada za watoto wao kwenye shule bora na hata gharama za kusomesha mtoto kwenye shule za kawaida Kama vile nauli, vitabu, chakula, mavazi na tuition. Watoto wa wakulima na wachoma vitumbua inawawia vigumu kugharamia watoto wao hata kwenye shule za kata. Maana hata soko la mazao yao halieweki na likieleweka hali ya hewa haieleweki. Humohumo Kuna stakabadhi gharani ambayo hawajui mnunuzi ataleta hela lini.
Kwa uzoefu wangu wa shule nilizosoma na kufundisha, Shule za msingi wanafunzi hawana uwiano sawa, Kuna shule moja ilikuwa haina wanafunzi wa Kiislam kabisa, nyingine nyingi walikuwa hawafiki hata robo, Sasa haya watu hawayaangalii wao wanahangalia kwenye kazi, shuleni Tena shule za msingi mpo wachache iweje kazink mtegemee kuwa wengi?

Mikoa mingi ya Tanzania Wakristo Ni zaidi ya Waislam,
 
Mkulima na muoka mandazi atamfundisha mwanawe kulima na kuoka mandazi, mwajiriwa atamfundisha mwanawe kufanya nini? cycle irajirudia tu. Ndiyo maana mwl Nyerere aliliona hilo na akaamua kuzitaifisha baadhi ya shule za kidini ili watoto wote wasome angalau kupunguzi pengo lililoachwa na wakoloni. Mwl Nyerere alifanya juhudi za makusudi za kuwajumuisha akina Kawawa na waislamu wengine kwenye uongozi. Ndiyo maana Leo hii unaweza kuwaona watoto na wajukuu wa akina Rashid Kawawa na makamba kwenye ramani
Si kweli, watu wengi tu wametoka familia masikini na wapo vizuri, hata viongozi wengi wametoka familia masikini...hivi kwa mfano akina Magufuli, Ndugai, Mengi, Diamond n.k Hawawametoka familia tajiri?

Elimu na kufanya kazi ndio humpa mtu mafanikio sio lazima kubebwa na familia
 
Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.

Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu.

Ukifika kwenye ofisi za umma utakuta Mtumishi kaweka kwa sauti music wa dini fulani na watu hawahoji.

Hii sio bahati bahati mbaya Wala coincidence. Ikumbukwe kuwa mishahara ya ajira na posho za vikao na mikutano ndizo zinazokwenda kuwekezwa kwenye elimu za watoto na maendeleo ya familia za watu waliopewa fursa ya ajira na kuhudhuria mikutano na kupata hela.

Hii inasababisha maisha na familia za jamii inayooatiwa fursa hizi kuwa mbele kimaisha na kielimu. Hivyo familia za wanufaika kuendelea kutoa watumishi bora na wenye elimu shindani na wale wanaonyimwa fursa kuendelea kutoa watu wasiokuwa bora na elimu shindani kwenye ajira, "vicious circle"

Rais anayekuja lazima azimulike ofisi zote za umma na taasisi, washa, mikutano na workshops na teuzi zote ili kujiridhisha na uwiano wa kidini pia baada ya vigezo vingine kukamilika.

Taasisi zetu za dini hazijui kazi zao au zinaogopa kutimiza kazi zao? Au ni hayo hayo matokeo ya kukosa fursa za elimu kwa njai hii?

Rais ajae pamoja na Mambo mengine ya jumla lakini autazame pia huu ufa kwenye taifa.


"Rais anayekuja lazima azimulike ofisi zote za umma na taasisi, washa, mikutano na workshops na teuzi zote ili kujiridhisha na uwiano wa kidini pia baada ya vigezo vingine kukamilika. "

MKUU NI HATARI SANA KUSHABIKIA VIGEZO VYA UWIANO WA KIDINI KWENYE MAMBO YANAYOHITAJI WELEDI NA MAARIFA.
KIGEZO KIKUU SIKU ZOTE NI SIFA ZA KITAALUMA ZA MTEULIWA HAIJALISHI DINI HATA KAMA HANA DINI MAADAM ANA SIFA ZA KITAALUMA NA VIGEZO VINGINE (si vya kdini) HUYO NDIO AFAAYE
 
Hebu kula waziri aagize orodha za watu waliohudhuria kwenye semina, workshops nk zote zilizofanyika mwaka huu tu aone Ni akina Nani wamealikwa, kuhudhuria na kulipwa posho. Baada ya kulipwa posho si wanaenda kulipia ada za watoto wao? Kununua kiwanja? Kufuga kuku? Kupiga rangi nyumba zao?
Hii list ni wafanyakazi wa Tanganyika ama Jamhuri ya Muungano?
 
Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.

Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu...
Idadi ya viongozi wa kikristo na teuzi utaendelea kuwa kubwa kwasababu ya wakristo walishapata Elimu miaka nenda Rudi. Wakati waislam wanawekeza kwenye madrasa wamesahau Elimu Dunia. Vyuo vikuu vimejaa wakristo wengi zaidi kuliko waislam. Hii Safu haitaweza kubadilishwa. Watu walishaajiliwa huwezi kuwatoa kwenye system na wanazo sifa stahiki na uzoefu wa kutosha
 
Umesema vema, lakini kumbuka kuwa huwezi kumkamua mbuzi ambae hajazaa, watu wenye kipato/ajira wanakopesheka kwenye vyombo vya fedha, hivyo kumudu kuwekeza kwenye biashara na kilimo Kama unavyosema. Mtu ambae hana ajira/posho atapata wapi mtaji, ada na sadaka ya kutosha?

Kumbuka kwenye makanisa hata wakoloni walikuwa wanasali humo, mawaziri, wakurugenzi, maofisa na watu wengine wenye mishahara na posho za vikao na semina wengi hivyo kutoa hela nyingi ya kujenga nyumba ya ibada au shule Ni Jambo dogo. Siku ya Ijumaa ukitembelea misikiti ya Ijumaa angalia viatu vya waumini walivyoviacha nje wakati wanaingia misikitini, utangundua kuwa Hali sio nzuri kwa waliyimo ndani humo

Kwani hali nzuri za wananchi zinapimwa na waajiriwa wa serikali? Kuna mdau ameelezea hapo juu matajiri wengi hapa Bongo ni Waislamu Pangani mikakati jinsi ya kuinuana acheni kulia lia.. Pili hoja yako kwamba wakoloni walikuwa wanasali kwenye makanisa (nadhani ikimaanisha wamejenga utamaduni wa wafuasi wao kujitoa kwa sadaka).. Kabla yao hao walikuwepo pia wakoloni waarabu nao walikuwa pia wakiswali miskitini mbona msiendeleze??
 
Wacha kufikiri kimakengeza! Kuna kitu kinaitwa MFUMO KRISTO.... ..bado nautafakari.
Mfumo Kristo unawapunguzia kodi wafanyabiashara Wakristo? Inatoa vibali vya ruti za daladala kwa wakristo pekee? Mfumo Kristo unawanyima waislam fursa za kusoma marian Boys? Mazinde juu? St Matthew? Unawanyima waislam fursa za kulima mahindi Kibaigwa? Fursa za kuuza sato? Acheni kulia lia Kila mtu apambane jinsi anavyoweza kwa mda mfupi aliopewa hapa duniani kuhakikisha anapambana na utumwa wa kifikra na umaskini
 
Back
Top Bottom