Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 7,357
- 7,636
Kanuni za uteuzi na ajira lazima zipitiwe upya ili ziruhusu watu wa dini zote watauliwe na kuajiriwa kwa uwiano hasa baada ya vigezo muhimu vya elimu na uzoefu wa kazi husika kuzingatiwa.
Inahuzunisha kukuta wafanyakazi wote wa ofisi ya umma au taasisi ya umma Ni wa dini fulani tu. Inasikitisha unakwenda kwenye semina au workshop au mkutano na kukuta washiriki wengi Kama sio wote ni wa dini fulani tu. Hivyo kusababisha vikao kufunguliwa na kufungwa kwa maombi ya dini fulani tu...
I dont believe kwenye uwiano wa kidini. Tunawapa watu wasiojiweza wala kufaa nafasi za kutuongoza kisa dini zilingane au ziwe sawa. Dunia yetu ilivyo, hata kwenye kila dini, the rule of jungle applies. Kama mtu mvivu, hajiwezi au hana sifa za kuongoza au kufanya kazi fulani, kwanini apewe kazi hiyo?