Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,863
- 62,390
Hivi mkuu, kipindi Cha Kikwete Waislam walikuwa na afadhali gani ukilinganisha na kipindi Cha Magufuli? Au kipindi Cha Mwinyi walikuwa na afadhali gani ambazo Sasa hazipo?
Walikuwemo angalau angalau wanaonekana serikalini japo walikuwa bado ni wachache kulinganisha na wakiristo lakini hawakuwa wachache kiwango cha kutisha kama ilivyo leo kwenye utawala huu. Huu utawala ni funga kazi, umewapiga palanja waislamu kwenye nafasi za utumishi serikalini kupita kiasi, utawala huu umewapa nafasi waislamu wachache mno mno mpaka aibu.