Rais aagiza Lema aachiwe kwa dhamana ya serikali

Status
Not open for further replies.
wewe unafikiri ni lema2 anayetakiwa kuhurumiwa mpumbavu huyo, Rais haangalii lema chadema wala ccm yake, yeye anafuata utawala wa sheria na kama hamuamini ujinga mnaoutaka fanyeni kiburi chenu mbele ya sheria muone kama hamtamsahau huyo lema wenu humo, au sheria ziko mifukoni mwenu?

C anajifanya mandela muacheni akae humo tuje tumpe nchi basi.

Soma tu post yangu kwa makini kidogo acha jazba. Nimesema Presida atakuwa Arusha wiki hii kwa mkutano wa EAC. Asipoingilia kati Lema hatatoka mwenyewe na akifika atakumbana na RCHUGA ndani ya A town.

Patakuwa patamu hapo maana huku vingora vya msafara wa marasi , huku mabomu ya Andeng'nye na Zuberi wake , huku wapambanaji wa ukweli dhidi ya udhalimu . Umeonae? Hata angekuwa mpumbavu kiasi gani hatakubali limtokee hili babake. CDM wanajua sana mambo . Big up CDM
 
Rais hawezi kusema chochote kwenye suala la Lema, ni suala dogo sana kina Zuberi wapo
Unaweza ukasema huyu jamaa anafikiria sana............kumbe hakuna kitu!!
Jakaya+Kikwete+na.jpg
kikwete-kachoka.jpg
61174953.DSC_1177.jpg
 
Rais ameagiza Lema atolewe gerezani mara moja (remove order) kwa dhamana ya ofisi ya rais ili kuepusha mgogoro na maafa yanayoweza kutokea huko Arusha.

Chanzo sio cha kuaminika sana lakini kama ikiwa ni kweli itakuwa powa sana.

Rais atakuwa amempuuza tu, machafuko gani yatasababishwa na Lema. Tazama sasa wapande wote wameshakaa pembeni kwa sababu wanajijua wenyewe matatizo walionayo katika jamii. Serikali iwe tu makini kuwatambua mmoja baada ya mwingine, itagundulika tu kwamba hawa ni wahuni tu.
 
Kwani nani kampeleka Lema gerezani si kaenda mwenyewe siku akichoka atasema muacheni kamada wetu wa sinema za kihindi
 
wewe unafikiri ni lema2 anayetakiwa kuhurumiwa mpumbavu huyo, Rais haangalii lema chadema wala ccm yake, yeye anafuata utawala wa sheria na kama hamuamini ujinga mnaoutaka fanyeni kiburi chenu mbele ya sheria muone kama hamtamsahau huyo lema wenu humo, au sheria ziko mifukoni mwenu?. C anajifanya mandela muacheni akae humo tuje tumpe nchi basi.
unaishi nchi gani? kuna utawala wa sheria nchi hii? wadanganye mavuvuzela akina YES - YES - sir- siyo sisi.
 
Raisi hawezi kuzungumzia suala la kijinga kama hilo. Ameamua mwenyewe kwenda jela.
 
Soma tu post yangu kwa makini kidogo acha jazba. Nimesema Presida atakuwa Arusha wiki hii kwa mkutano wa EAC. Asipoingilia kati Lema hatatoka mwenyewe na akifika atakumbana na RCHUGA ndani ya A town .Patakuwa patamu hapo maana huku vingora vya msafara wa marasi , huku mabomu ya Andeng'nye na Zuberi wake , huku wapambanaji wa ukweli dhidi ya udhalimu . Umeonae? Hata angekuwa mpumbavu kiasi gani hatakubali limtokee hili babake. CDM wanajua sana mambo . Big up CDM

Nimekuelewa lakini tambua MHe Rais hatishiwi nyau,, kama lema anavigezo vya kutoka hata sasa atatoka lakini kama hana hawezi kutoka kamwe, Na huo mkutano c wa wananchi ni wa viongozi anahusika nn lema mpaka atoke bila kutimiza masharti?

Mbona mnataka kufanya nchi itawaliwe kiholela? Au hutambui kuwa arusha ni mji wa EA Na Afrika kwa jumla na kunaWATANZANIA NA WASIO WATANZANI WENYE SHUGHULI ZAO. Kumbuka CY yote ya CCM ni mazuri na YA CDM yote ni Mazuri,Ila tufike mahala kama wana Jamii tukemee mambo yasiyopendeza katika ustawi wa Taifa letu.
 
Mkuu Mnambowa umenena sina cha kuongeza naweza kuharibu bure.

Nimekuelewa lakini tambua MHe Rais hatishiwi nyau,, kama lema anavigezo vya kutoka hata sasa atatoka lakini kama hana hawezi kutoka kamwe, Na huo mkutano c wa wananchi ni wa viongozi anahusika nn lema mpaka atoke bila kutimiza masharti? Mbona mnataka kufanya nchi itawaliwe kiholela? Au hutambui kuwa arusha ni mji wa EA Na Afrika kwa jumla na kunaWATANZANIA NA WASIO WATANZANI WENYE SHUGHULI ZAO. Kumbuka CY yote ya CCM ni mazuri na YA CDM yote ni Mazuri,Ila tufike mahala kama wana Jamii tukemee mambo yasiyopendeza katika ustawi wa Taifa letu.
 
wewe unafikiri ni lema2 anayetakiwa kuhurumiwa mpumbavu huyo, Rais haangalii lema chadema wala ccm yake, yeye anafuata utawala wa sheria na kama hamuamini ujinga mnaoutaka fanyeni kiburi chenu mbele ya sheria muone kama hamtamsahau huyo lema wenu humo, au sheria ziko mifukoni mwenu?. C anajifanya mandela muacheni akae humo tuje tumpe nchi basi.

Unajua utawala wa sheria au umekaririshwa kama kasuku wa Mhindi?! Nyie ndo wale mlionyweshwa maji ya libendela lenye rangi za kichaka!
 
Rais ameagiza Lema atolewe gerezani mara moja (remove order) kwa dhamana ya ofisi ya rais ili kuepusha mgogoro na maafa yanayoweza kutokea huko Arusha.

Chanzo sio cha kuaminika sana lakini kama ikiwa ni kweli itakuwa powa sana.

Kamanda we piga kimya kwani tutajua tu! Amtowe asimtoe ni mpk kieleweke.

good move.

Hata mimi napata mashaka na hii habari!
Anyway, lets wait!

hatoki,,hatoki, hatoki kwanza mh rais hanaga utaribu wa kuingilia mahakama, msi2danganye, na wala msitegemee mteremko huo...

Kama akiachiwa kwa remove order basi aliyesababisha haya matatizo yaani Zuberi naye aondoke immediately

Hata mpumbavu angepaswa kufanya hivyo, Sembuse RAIS WA JAMAHURI YA TZ? Tena anatakiwa Arusha kwa mkutano wa EAC this week. Asipofanya hivyo itakula kwake , and that is what we call technical win. CDM juu sana , sana tena sana.

Bado hajaachiwa, lakini taarifa ya kumwachia ilishawafikia jamaa, wanajipanga wafanyeje. Nahisi watalazimisha mtu wa kumtolea dhaman isije kuonekana ni amri ya Rais. Kutoka hasa hasa itakuwa kesho kwa mujibu wa taratibu zao.

Rais hawezi kusema chochote kwenye suala la Lema, ni suala dogo sana kina Zuberi wapo

Lema anadai UTU na UBINADAMU ... Urejeshwe Mtaani. Kwanza kabla ya yote inabidi SEREKALI ikae kitako na kutafakari nini Maana ya Maneno makubwa kama hayo. UTU NA UBINAADAMU. Waraka wa Lema sio wa kubezwa.Kama ni Lazima Yeye abizwe lakini SIO WARAKA WAKE.. Anaweza kuonekana kama anavyonekana na kutafsriwa kama mtu anavyotaka lakini UJUMBE alioutoa ndio wenye POTENTIAL ENERGY .. poorly handled can lead to uncontrollable condition...which is very unnecessary at this stage. Na serekali inaweza kutumia busara zake hapo!!

UTU na UBINAADAMU wa TAIFA kiukweli uko chini!

UTU na UBINADAMU ni nguvu rasmi iliyoasisi Taifa hili. UTU sio woga, utu, shaka, utu sio uonevu, utu sio kutoheshimiana .. UTU ni UTANZANIA.

Kwa kuwa UTU na ubinaadamu ndio chimbuko la hili Taifa ... Inamaana MBEGU HIYO IKO ... inahitaji .. Hali ya hewa nzuri na kuifanya ichipue na kuuota na kukua tena kwa kipindi cha mara ya pili. Kumbuka hata AZIMIO LA ARUSHA NI AZIMIO LA UTU ... NA UTU HAUPITWI NA WAKATI KAMA WENGI WANAVYODHANI!!!

Inahitaji kauutaalam kadogo tu, kwa njia ya kisaikolojia kufanya mabadiliko makubwa kutokea Tanzania. Just a little MECHANICS in Psychological War Fair ..!

Kwa kujua au kutojua ... Ule Waraka wa G Lema umejaa.. Maneno yenye dhana ya UTU, UBINADAMU, HESHIMA, KUPINGA WOGA, SHAKA, KUKANDAMIZWA KUONEWA NK

Mwerevu yeyote anajua hayo ndio maneno yaliyotumika katika enzi ya kupigania UHURU wa NCHI HII. Huo mwenge wa UHURU ..Ulisimamia Maneno .. UPENDO, HESHIMA, MATUMAINI ...kwa mjanja ataona kuwa .. hayo maneno matatu ndio ule ujumbe wa kweli wa Mwenge wa uhuru na ndio MSINGI WA UJUMBE WA G LEMA. ... NA UPENDO, HESHIMA, MATUMAINI NI UTU NA UBINADAMU ...NI UHURU ... NI AZIMIO LA ARUSHA .. NI UBINADAMU ...NI NGUVU KUBWA KULIKO ZOTE ULIMWENGUNI!!! UTU ndio NGUVU YA KWELI YA UMMA, NGUVU KUBWA INAYOWEZA KUZUIA SILAHA YEYOTE ISFANYA KAZI!!

UTU NA UBINADAMU kama nguvu inabidi isimamiwe kwa busara na hekima vinginevyo ..ikijitiokeza bila kusimamiwa ..lnaweza kuleta maafa yasiyo ya lazima.Na hapa lazima serekali iliyopo madarakani isimamie jambo hili kwa ndio jukumu lake la kweli!!

Kwa hoja hiyo ... Ni sahihi Rais akingilia .. na reconsile na G Lema .. ASBEZWE!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom