Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
wewe unafikiri ni lema2 anayetakiwa kuhurumiwa mpumbavu huyo, Rais haangalii lema chadema wala ccm yake, yeye anafuata utawala wa sheria na kama hamuamini ujinga mnaoutaka fanyeni kiburi chenu mbele ya sheria muone kama hamtamsahau huyo lema wenu humo, au sheria ziko mifukoni mwenu?
C anajifanya mandela muacheni akae humo tuje tumpe nchi basi.
Soma tu post yangu kwa makini kidogo acha jazba. Nimesema Presida atakuwa Arusha wiki hii kwa mkutano wa EAC. Asipoingilia kati Lema hatatoka mwenyewe na akifika atakumbana na RCHUGA ndani ya A town.
Patakuwa patamu hapo maana huku vingora vya msafara wa marasi , huku mabomu ya Andeng'nye na Zuberi wake , huku wapambanaji wa ukweli dhidi ya udhalimu . Umeonae? Hata angekuwa mpumbavu kiasi gani hatakubali limtokee hili babake. CDM wanajua sana mambo . Big up CDM