Jf siku hizi haiaminiki...kila mtu anakuja na habari yake.
Matatuu nyingi sana wamegoma hasa katikati ya mji, maeneo ya pembeni kama njiro to town wanaishia impala wanageuka wanarudi njiro hawana jeuri ya kufika hata clock tower.Ivi hayo matatuuu waligomaaa?
Usijidanganye wewe, hivi unayajuwa mamlaka ya Rais wa JMT kikatiba juu ya mambo ya mahakama, wafungwa nk. Vipi kuhusu misamaha rais anayotoa! Umejoin lini JF bosi?hatoki,,hatoki, hatoki kwanza mh rais hanaga utaribu wa kuingilia mahakama, msi2danganye, na wala msitegemee mteremko huo...
Kama akiachiwa kwa remove order basi aliyesababisha haya matatizo yaani Zuberi naye aondoke immediately
Hata mpumbavu angepaswa kufanya hivyo, Sembuse RAIS WA JAMAHURI YA TZ? Tena anatakiwa Arusha kwa mkutano wa EAC this week. Asipofanya hivyo itakula kwake , and that is what we call technical win. CDM juu sana , sana tena sana.