Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,860
- 19,755
^… and remains upbeat^ That's VERY nice
Hamia kwao kwenye uwaziUkiangalia Habari za Kenya mida hii ni kwamba Raila Odinga umepatikana na Covid-19.
Nilicho jifunza wao wako wazi kabisa, sielewi kwa nini Tanzania huu ugonjwa unachukuliwa kama Gonorrhoea.
Huu ugonjwa ni ugonjwa wa aibu kwa Tanzania.
Mficha maradhi kifo humuumbuaKenya kuumwa ni tangazo.la biashara
Wanajitangaza kufisadi pesa za chanjo kuonyesha tatizo kubwa sana wapige hela .
Umeona ehebasi itakuwa hii ndo ile ya Nairobi hospital wakulungwa wakachanganya madesa wakasema ni No. 1
hapa sasa nmeelewa
Acha propaganda kijana, kwani si ni juzi tu Waziri wa Fedha wa Tanzania alitoka hadharani na kueleza umma kuwa amepona COVID-19, sasa hio ina tofauti gani na hii ya habari yako ya Raila?Ukiangalia Habari za Kenya mida hii ni kwamba Raila Odinga umepatikana na Covid-19.
Nilicho jifunza wao wako wazi kabisa, sielewi kwa nini Tanzania huu ugonjwa unachukuliwa kama Gonorrhoea.
Huu ugonjwa ni ugonjwa wa aibu kwa Tanzania.
===
ODM leader Raila Odinga has tested positive for COVID-19, a statement from his doctor revealed on Thursday night.
Consultant neurosurgeon David Oluoch-Olunya said he is responding well to treatment at the Nairobi Hospital.
“Following my letter of the 10th of March 2021 we have confirmed that Rt. Hon. Odinga has SARS-2 COVID 19. We are continuing to monitor his progress,” the statement reads.
The ODM leader was admitted to hospital on March 9 after he complained of general fatigue and body aches.
Source: Citizen
Hivi unajua maana ya Breaking News wewe?Ukiangalia Habari za Kenya mida hii ni kwamba Raila Odinga umepatikana na Covid-19.
Nilicho jifunza wao wako wazi kabisa, sielewi kwa nini Tanzania huu ugonjwa unachukuliwa kama Gonorrhoea.
Huu ugonjwa ni ugonjwa wa aibu kwa Tanzania.
===
ODM leader Raila Odinga has tested positive for COVID-19, a statement from his doctor revealed on Thursday night.
Consultant neurosurgeon David Oluoch-Olunya said he is responding well to treatment at the Nairobi Hospital.
“Following my letter of the 10th of March 2021 we have confirmed that Rt. Hon. Odinga has SARS-2 COVID 19. We are continuing to monitor his progress,” the statement reads.
The ODM leader was admitted to hospital on March 9 after he complained of general fatigue and body aches.
Source: Citizen
Kwani Bongo kuna corona?Bongo huu ugonjwa ni wa aibu
Umeonaeee?Punguza haraka
Akili zako zinakusaidia kupanda daladala tuKenya kuumwa ni tangazo.la biashara
Wanajitangaza kufisadi pesa za chanjo kuonyesha tatizo kubwa sana wapige hela .