TANZIA Raila Amolo Odinga afariki dunia nchini India kwa mshtuko wa moyo

TANZIA Raila Amolo Odinga afariki dunia nchini India kwa mshtuko wa moyo

Mkumbusheni yule ndugu' kuwa hata Mimi na yeye tutaondoka siku moja 🙏

R. I. P papaa
 
Okay, sitarudia tena
Vizuri, vipi wazee wa kamati ya michango wamekwisha kujaa au bado nikaongeze nguvu, maana huku kwetu Dsm hali ni mbaya, watu wamegoma kutandika daluga, wazee wa kufyeka baadhi ya majina ya wachangiaji kwa karatasi mkono uende kinywani hali yetu ni mbaya, naona kunahaja ya kufanya kazi kimataifa kama mashirika mengine duniani.
 
Vizuri, vipi wazee wa kamati ya michango wamekwisha kujaa au bado nikaongeze nguvu, maana huku kwetu Dsm hali ni mbaya, watu wamegoma kutandika daluga, wazee wa kufyeka baadhi ya majina ya wachangiaji kwa karatasi mkono uende kinywani hali yetu ni mbaya, naona kunahaja ya kufanya kazi kimataifa kama mashirika mengine duniani.
Naona tufanye kazi kimataifa Ili mambo yawe mema
 
Dah!

Niliandika hivi kuhusu Raila miaka 12 iliyopita!

 
Dah!

Niliandika hivi kuhusu Raila miaka 12 iliyopita!

Nitag kwenye huo Uzi wako mkuu
 
Poleni Majirani kwa kuondokewa na Mwamba
Tutamkumbuka kwa mengi sana

IMG_1420.jpeg
 
Raila Odinga (RAO) afariki dunia huko India. Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80.

R.I.P Papa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atuma ujumbe wa rambirambi :

TWITTER :
— Samia Suluhu (@SuluhuSamia) October 15, 2025

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mheshimiwa Raila Amolo Odinga. Tumempoteza kiongozi mahiri, Mwanamajumui wa Afrika, mpenda amani na mtafuta suluhu, ambaye ushawishi na upendo wake haukuwa tu ndani ya Kenya, bali Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla. Msiba…

— Samia Suluhu (@SuluhuSamia) October 15, 2025


TOKA MAKTABA :

WaTanganyika Wawili ambao ni Raila Odinga na Jakaya Kikwete katika mchuano mkali

Kampeni za Raila alitumia pasipoti ya Tanganyika kwenda kusoma Ujerumani ya Mashariki,

Raila Odinga Atembelea Chuo Cha Zamani huko Leipzig, Ujerumani kabla ya Zabuni ya Uenyekiti wa AU



View: https://m.youtube.com/watch?v=o202H_CoZlw

Mwaka 1962 Serikali ya Tanganyika ilimpa Raila Odinga hati ya kusafiria (pasipoti) iliyomsaidia kwenda kusoma source : mtandao wa X

In 1962, Jaramogi Oginga Odinga requested Mwalimu Julius Nyerere, then newly elected as the Prime Minister of Tanganyika, to facilitate the travel of his then 17-year-old, Aluo Raila Amolo Odinga, to East Germany. Raila travelled from Dar-es-Salaam by ship to Egypt, then to East Germany using a Tanzanian passport. After Daniel arap Moi released him from detention without trial in 1991, Raila, once again, fled Kenya, this time to Norway, using a Ugandan passport. Source : Migori News
 
Back
Top Bottom