ragin
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,391
- 9,385
na amini katika yeye anitiae uzima na ndio maana nikasema anaebisha aje hapa.Unawezaje kusema watu wengi wamejiaminisha kuwa DT anashinda na hali hata wewe pia umejiaminisha kuwa HC utashinda.
Au umeaminishwa huko...!?