kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,077
- 1,728
- Thread starter
- #481
Nilihisi hilo, ile ni left hook 🪝 hatari sanaKwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa Amefariki
Nilihisi hilo, ile ni left hook 🪝 hatari sanaKwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa Amefariki
Ngumi ya koo imeingia kisawasawa 😂😂😂Hii misiba tuwaachiage wenye fedha tuu ndo wawe wanashiriki
Huo mstari wa mwisho umeandika logicNgumi kama imerushwa kizembe ila ukiizoom na kuitafakari inakoelekezwa ni ngumi ya kitaalam sana. Sumbwi limeelekezwa kupiga maeneo ya kimkakati ili jamaa asirudie tena.
Mlinzi angempiga mtama tu huwezi kulinda maiti kwa kuhatarisha uhai wa wanaopumua
Wazushi aiseeMbona nimesikia Amefariki huyo Mzee?
Angalia sekunde moja nyuma utaona kosa lake la msingiBaba wa watu kaniuma jamani sasa wamempigia nini
Sio yan kibadan shodani kataHiyo ngumi kitaalam tunaita Jordan Nzuki
Kwani mlinzi katumia silaha?Kuna walinzi wengine sijui wanakua ni vichaa wamepewa kazi ya ulinzi sasa kulikua na haja gani ya kumpiga ngumi Kali kiasi hicho kwanini usimsukume kidogo tu pembeni daah mtu ha silaha unampiga kiasi hicho daah
Pole mkuu na hii itakuwa trauma kwako kwa maisha yako yote, jaribu kupata counseling if possible mkuuMkuu nilijilaumu sana kutochukua video, ilinishangaza wanavyohubiri kuhusu wanyonge, na walichomfanya huyo boda nikabaki nasikitika yaani bila katiba mpya hakuna rangi tutaacha kuona
Huyu mlizi alikusudia kumwua jamaa, hiyo ngumi ya kuua sio ovyoMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Yes,una thamani zaidi.Hiki ni kiburi cha hali juu. Mwili wa Lowassa una thamani kuliko mtu aliye hai. Kwanza kuna mantiki gani ya kukimbia pembeni ya gari utadhani wamebeba kitu cha thamani sana? Kwa upande wa pili wa shilingi. Na sisi raia tumezidi ukondoo. Watu kama hawa wanapofariki kwa nini tusijikalie nyumbani ili wajue kuwa hatuwathamini kama wasivyotuthamini?
Umeona amelizuia gari? Hakuwa na ndugu? Wananchi na sisi tuache ukondoo huyo mlinzi alikuwa wa kupigwa na nzengo nzima!Kwani mlinzi katumia silaha?
Watu lazima wajifunze itifaki ya misiba ya kitaifa. Anakwenda kulizuia gari ili iweje? Wafe na Lowassa?
Mbona nimesikia Amefariki huyo Mzee?
Wewe na huyo mlinzi hamna tofauti.Weka video
Mbona nimesikia Amefariki huyo Mzee?
Kwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa Amefariki
🤣Maiti pia hulindwa wanga wengi waweza itaka maiti kuchukua nyota au viungo vya watu maarafu kufanyia uganga
Usitumie nguvu mkuuWewe na huyo mlinzi hamna tofauti.