Rai ya Alphonce Mawazo kwa wana CHADEMA

Rai ya Alphonce Mawazo kwa wana CHADEMA

Kamanda nakuomba sana Ingia
Ludewa hasa mwambao mwa ziwa nyasa! Deo Filikunjombe anawatambua vizuri
moto wao hao wanaosema Chadema ipo mjini wamulize Filikunjombi na bado
jezi na kofia zenu walizovalishwa mbwa na nguruwe 2010 kama hamjaisoma
kitaeleweka tu! Tambueni vijijini wameamka! Go go kamanda !

With God's love and help,tutashinda
 
Ukisikia kilaza ndiyo wewe, yaani kwa maandishi makubwa ya msisitizo unaandika utumbo huu? Hizi "User Name" za humu si lazima ziwe ndiyo majina halisi. Wewe unavyotumia "Truth Matters" ni jina halisi? Hata ukiondoa herufi moja kama akina "Mandla Jr" (post#6) huwezi ukasema ni "Mandela Jr". Kama ungeona kuna nembo ya "Verified User" labda ndo unge question. Uzuri Kamanda kwenye heading kaandika vizuri kabisa jina lake halisi "Alphonce Mawazo" bila kujificha kama ulivyofanya wewe!

Kamanda Mawzo aka "Kamnda Mawazo" piga kazi CCm wameanza kuhaha baada ya Pandikizi lao kugundulika! Twanga kotekote umalize kazi. Tuko bega kwa bega mpaka kieleweke. Peopleeeeez....!

Thought he was a verified user. Kaaah!!
 
Naona unaongea kirahisi rahisi tu!

Kwa nini unadhani anaongea kirahisi rahisi? huko vijijini maisha yanaendelea kama kawaida na siasa zinaendelea kama anavyosema mleta uzi, niko vijijini maeneo mbalimbali kwenye kazi zangu zaidi ya miezi 2, maisha yanaendelea kama kawaida wakati nyinyi mnatoana macho kwenye keyboards.
 
Sijakuelewa...pls.
''Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.''
mawazo hujaelewa nini?
je ni kweli chadema haina matatizo au umejitoa fahamu tu na kujifariji? tunajua hata mtu aliyeifiwa huwa anafarijiwa na kujifariji lakini ukweli unabaki palepale kwamba ameondokewa na kipenzi chake.
kwa ni i uanze kuwabembeleza kama kweli kwenye chama hakuna tatizo?
kuweni wakweli na huo tu ndo utakaowaweka huru, period.
 
great words....kauli yako ni ya kishujaa....
 
Oooh! kumbe ni kujadili tu mi nkajua tunaangalia huo mzigo umemuelemea mtanzania kwa sababu gani..nani kasababisha na nani anaweza kututoa hapa tulipo kwenda hatua nyingine????

Mjadala uwe tunatokaje hapa na nani ana potential za kututoa hapa kwendea tunako tamani kuwa! CHADEMA kwa hii level ya thinking hawawezi hii kazi!!
 
Kamanda nakutakia kila lakheri ktk kujenga chama mungu akutienguvu tupo pamoja na Mimi kesho nitakuwajimbo lamwakyembe
 
Oooh! kumbe ni kujadili
tu mi nkajua tunaangalia huo mzigo umemuelemea mtanzania kwa sababu
gani..nani kasababisha na nani anaweza kututoa hapa tulipo kwenda hatua
nyingine????

Mjadala uwe tunatokaje hapa na nani ana potential za kututoa hapa
kwendea tunako tamani kuwa! CHADEMA kwa hii level ya thinking hawawezi
hii kazi!!

Come up with that new thinking,it might save time.
 
Back
Top Bottom