Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 478
- Thread starter
- #141
RIP Dr Mgimwa, the latest victim of establisment's brutality. You dont think like them you go.
Too sad,he died a free man then...
RIP Dr Mgimwa, the latest victim of establisment's brutality. You dont think like them you go.
ukombozi dhidi ya mkoloni mweusi mabadhirifu, bora yeye, wengine hawafai,yeye ndiye mwenye nchi na vyote vilivyomohivi ukombozi upi uwa mnaouzungumzia.
Hivi wewe UNADHANI
JUHUDI ZAKO ZA KUIJENGA CHADEMA ZINAZIDI ZILE ALIZOKWISHAZIFANYA ZITTO?-
WEWE UNAPATA PLATFORM YA KUZUNGUMZA KWA SABABU ULISHAJENGEWA MAZINGIRA
NA AKINA ZITTO OTHERWISE ASINGEKUSIKILIZA MTU
Mpe salute kamanda Paulo Magembe hapo Maganzo,zama Mwadui kamanda upige neno
Hongera saana kamanda Mawazo, I real support u! Chikobe wanakupa hi
Pamoja kamanda stay focused..lengo n kuyatoa haya ma ccm
Mnatamani yaishe lakini hata
hamjui yataishaje, nakumbuka kibabu chenu kilisema mjadala kuhusu Zitto
umefungwa. Yako wapi sasa?
Mmewasha moto halafu mmeshindwa kuuzima, na mwaka ndo kwanza unaanza.
Mpaka ifike Disemba, kazi mnayo...
Mawazo mawazo yako ni ya
muhimu sana wakati huu.
Makamanda kila mtu ageukie kijiji chake kupeleka ujumbe wa mabadiliko.
Issue ya mahakama tuwaachie kina Tundu na wanasheria wetu. Tusiwe kama
CCM, hawahangaiki kujenga chama chao zaidi ni kuishambulia CDM usiku na
mchana
Truth
Matters Wewe hili ni jina lako? na
wewe tukupe Div gani.
Kila la kheri mkuu,
natamani ningeambatana nawe but niko mbali kikazi tafadhari mwambie
kamanda Paulo Magembe diwani wa Maganzo,ambaye naamini ndiyo mwenyeji
wako akupangie mkutano Mwadui mgodini,utoe mrejesho hapa JF,Mimi ni
miongoni mwa makamanda tulio izika CCM mgodini na pale Shybush
sec
Sana kamanda tusonge mbele na
CDM msingi ili tuishikishe adabu CCM ..hapa ni mwendo mdundo na twanga
kotekote mpaka kieleweke
Peoooooplesssssssssssssssssssssssss,POWER CHADEMA!
Piga mkutano pale Mwang'holo pia cdm iko juu pale niliizika CCM pale,kawatie moyo zaidi
Ndicho haswaa kinachopaswa kufanyika sasa, ni vizuri CDM ikaendelea na program zake
Nitafanya mkutano nae kwenye kata yake leo.
Hahah...Si msupport
Zitto lkn huwez kulirahisisha hili swala boss..!!
Reputation ya CHADEMA itategemea sana jinsi mtakavyo handle hii
saga...!! Wala usijidanganye...kudeny ukweli kwa kukimbilia
vijijini...Zitto anajulikana hata vijijini...tumng'oe kama kweli kuna
tangible allegations..tuziweke hadharani...lkn pia uongoz wa juu
ujisafishe na tuhuma alizo ziraise Zitto...face the reality..dont
distract ppoz attention..Watanzania sio wajinga tena..HATA HUKO
KISHAPU...!!
Ulete mapato na matumizi
ya pesa ulizo pewa alafu wewe mjanja kweli mbona hiweki picha ya
mikutano yako