notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 453
dream walker.
huenda ukawa kweli ni kijana mchapakazi
huenda ukawa unafanya kwa dhamira saaafiiii
tatizo ni kwamba unawatumikia CHAGAZ N PUPPETS... ukiwatumikia vya kutosha na wakakuona kama threat katika mipango yao ya kishetani, you will be kicked.
kwa somo zuri zaidi muulize ZZK.
alikuwa ni zaidi ya hivyo ufanyavyo wewe na amechangia zaidi ya 50% kukifikisha chadema hapa kilipo.
ona ni kitu gani wanamfanyia????
labda ututangazie kuwa wewe ndio walewale watumwa wa mbowe/chagaz.. lakini kama unajitambua na kutambua haki yako!!! amini nakwambia kuna siku utakuja humu ukilia na kusaga meno. na sisi kwa sababu tuna kumbukumbu!!! basi tutakukumbusha na kukwambia''' lakini mbona tulikuonya""
time is the wisest teacher, and let's wait for it
huenda ukawa kweli ni kijana mchapakazi
huenda ukawa unafanya kwa dhamira saaafiiii
tatizo ni kwamba unawatumikia CHAGAZ N PUPPETS... ukiwatumikia vya kutosha na wakakuona kama threat katika mipango yao ya kishetani, you will be kicked.
kwa somo zuri zaidi muulize ZZK.
alikuwa ni zaidi ya hivyo ufanyavyo wewe na amechangia zaidi ya 50% kukifikisha chadema hapa kilipo.
ona ni kitu gani wanamfanyia????
labda ututangazie kuwa wewe ndio walewale watumwa wa mbowe/chagaz.. lakini kama unajitambua na kutambua haki yako!!! amini nakwambia kuna siku utakuja humu ukilia na kusaga meno. na sisi kwa sababu tuna kumbukumbu!!! basi tutakukumbusha na kukwambia''' lakini mbona tulikuonya""
time is the wisest teacher, and let's wait for it