Huyu Kamanda Mawazo sasa anazunguka kila kona kukitangaza chama anasifiwa na kila mtu, ukitaka uone Kamanda Mawazo hana maana hajaribu kugombea nafasi yoyote makao makuu.
hivi ww unafkria kwakutumia makalio eeh?? kusifiwa sio kupewa madaraka yote kila anaesifiwa akupewa madaraka kitakuwa chama hcho sasa CCM hamna katiba ya kueleweka ndo maana mnashindwa kuwajibishana mbona lowasa anafahamika nchi nzima lakin mnamkatalia kuchukua form ya urais?? mipango yenu na zitto imetimia muongezeni pesa annue hummer ya pili na nyumba dar estate nyingne ila yana mwisho endeleeni kusafirisha mizigo matumboni