Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,903
- 28,046
Zzk ndo kajengwa na chadema we pusi.
Hebu toa ufafanuzi kidogo kakijengaje..?
Unawashwaa ehhh...
Zzk ndo kajengwa na chadema we pusi.
Kila mtu hulipwa kwa kazi yake kamanda, CDM itakukumbuka kwa kazi yako. Ukimaliza huko hamia na mkoa mpya wa Njombe hasa Ludewa.
Nimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine tutawanyike tukajenge chama.
Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya kuwashughulikia, acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili uundaji wa misingi.
Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.
Nimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine tutawanyike tukajenge chama.
Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya kuwashughulikia, acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili uundaji wa misingi.
Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.
Zitto anajulikana Facebook
Hivi ukombozi upi uwa mnaouzungumzia.Kamanda mawazo piga kazi kamanda...tuko sambamba na wewe...Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri ya ukombozi.
Hivi wewe jamaa huna
kazi nyingine????
Kila siku unaleta maneno ya khanga hapa.
MOD's please naomba mtoe huu uzi.
·
Paw,
·
PainKiller,
·
Fang,
·
Buchanan,
·
Cookie
cc;
Unaweza kuizika CCM nyuma ya keyboard?
Kamanda nakuomba sana Ingia
Ludewa hasa mwambao mwa ziwa nyasa! Deo Filikunjombe anawatambua vizuri
moto wao hao wanaosema Chadema ipo mjini wamulize Filikunjombi na bado
jezi na kofia zenu walizovalishwa mbwa na nguruwe 2010 kama hamjaisoma
kitaeleweka tu! Tambueni vijijini wameamka! Go go kamanda !
Ubarikiwe kamanda!! Maneno ya busara hayo
Hivi ukombozi upi uwa mnaouzungumzia.
Hongera kwa kazi nzuri ya
kujenga chama kamanda lakini ni vyema ukaachana na kutaja jina la ZZK
kwa mabaya maana mwenzio akinyolewa na wewe tia maji.
Wenzako walianza hivyo hivyo kujenga CDM wakiwa wadogo sana tena kwa
jitihada kubwa sana pengine kuzidi hata wewe kamanda,lakini mwisho wa
siku walikuja kuonekana wabaya pale tu walipotofautiana na wanaoitwa
WENYE CHAMA. Angalia leo usiitwe kamanda na kesho ukaitwa msaliti pale
utakapotofautiana na WENYE CHAMA.
Utajengaje chama wakati mwenye chama amesema hamtaki?
kaza kamba kamanda tupo wote
Hivi ukombozi upi uwa mnaouzungumzia.
Well said TUNAKUJA HUKO
SOON USIJALI. TUTAANZIA MANDA, VIJIJI VYOOTE ZA ZIWANI, LUDEWA MJINI, NA
MILIMANI KWOTE TUTATWANGA
kamanda tunakushukuru sana kwa kuheshimu maamuzi ya kamati kuu .
aisifiae mvua imemnyea.
yaelekea na wewe yamekukuta. tueleze tu ukweli yaliyokukuta ndo ukaanza
kuwabebeleza wasikilizaji wako waliokuwa na hasira juu ya unyanyaswaji
anaofanyiwa zitto. hawajakupopoa mawe kweli?