Yakiisha ya zito na mbowe yatafata ya slaa na mbowe,then lisu na mnyika etc
Endelea kupiga ramli,baada ya lowasa na kamati kuu ya magamba kitafata nini? chama kufa au?
Yakiisha ya zito na mbowe yatafata ya slaa na mbowe,then lisu na mnyika etc
Kamanda Mawazo samahani hivi Chadema wanakulipa?
Yakiisha ya zito na mbowe yatafata ya slaa na mbowe,then lisu na mnyika etc
Nimeingia jimbo la Kishapu kwa ziara ya siku nne,nawaomba wanachadema kupuuza na
kutolipa uzito suala la zito.tuiamini kamati kuu na baraza lake,wengine
tutawanyike tukajenge chama.Tusiingie kwenye mtego wa adui wa mabadiliko
yaani CCM,wanachotaka ni zogo hizi kuendelea nasi tupunguze kasi ya
kuwashughulikia,acheni kulifanya gumzo vijiweni na badala yake tujadili
uundaji wa misingi.Hakuna haja ya kufadhaika na kuhisi kana kwamba kuna tatizo kweli,HAKUNA TATIZO CHADEMA,nawaomba tena na tena muelekeze nguvu zote vijijini ambako hata Zito hawamjui wao wanajua chadema.
Zitto hata shetani hamtaki
ZZK anajipendekeza kwenye ndoa aliyopewa talaka.
Mtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.
Hata kama ni talaka huwezi kupewa kihuni kama.Chadema wanavyofukuza watu kihuni huni.
Ulete mapato na matumizi ya pesa ulizo pewa alafu wewe mjanja kweli mbona hiweki picha ya mikutano yako
Na jf. ?...
Mtei Kasema Zitto hatakiwi CHADEMA, sisi tunafikiria tunamtoaje wewe unasema tutawanyike tukajenge Chama, Unachekesha sana.
mawazo unafanya kazi nzuri sana kamanda..nimepoteza namba yako nipm nikuongezee pesa ya mafuta...