Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,283
- 55,886
Inabidi kuwa makini unapotafuta mwenza lasivyo ikifikia hiyo pointi utapata machungu yote ya dunia
Inabidi kuwa makini unapotafuta mwenza lasivyo ikifikia hiyo pointi utapata machungu yote ya dunia
Waungwana husema kosea vyote lakini si ndoa kuoa /kuolewaInabidi kuwa makini unapotafuta mwenza lasivyo ikifikia hiyo pointi utapata machungu yote ya dunia
Mlilazimishwa kuoanaTumooana kila mmoja hana furaha na mwenzie tatizo tunaogopa wazazi
Sahizi ni kuishi kulingana na mazingira basi siku zinaendaHahahaha hakuna namna sasa
Tatizo watu wanaleta maisha ya tamthilya katika mahisha halisi;bila kujua maisha ya tamthilya ni feki
Olewa tenaTumooana kila mmoja hana furaha na mwenzie tatizo tunaogopa wazazi
Kama kuongea tushaongea sana,, tusha shauliwa sana mwishowe wametuchoka tunasukuma Siku ziende tuKaeni chini muongee kisha mpelekane hata viongozi wenu wa dini kila mtu atoe yake ya moyoni, mnaweza kuuana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kuharibu tafutaneni kama bongo movie huko mbele ndiyo majibu mtayapata, kuna ndoa miezi 6-mwaka hakuna kitu watu mliopendana sizani hata mkigombana sahizi mkalala kesho mtapikiana chakula unakula huku umenuna na kodi ya meza unaachaTatizo watu wanaleta maisha ya tamthilya katika mahisha halisi;bila kujua maisha ya tamthilya ni feki
Hongera babu Asprine kwa mahabati anayokupa..!Ukipendwa kwenye ndoa ni kama unaishi pepo ya dunia. Hata uwe unakoroma usingizini mwenza ataichukulia poa tu. tena ukisafiri ana miss ule mkoromo wako.
Hata uwe unakojoa kitandani, ataongeza budget ya omo na kubadilisha shuka alfajiri huku kimya kimya akimtafuta daktari wa kukutibu.
Makosa tunayofanya ni kumtafuta msichana wa kuvutia na unawaacha wale wanaokupenda kwa upendo huu wa agape.
Wadada wanatafuta handsome, aliyesoma, mwenye kuendesha gari nzuri. Yule Hamis next door ambae angeweza kukinga matapishi yako kwa mkono ukiugua unamuona zobwe.
Dunia ni majanga.
Tabu tupu yani, mie ugonjwa wangu mzigo kiasi tu uwepo,tuhips na awe mwepesi kitandani. Sura wastani tu. Akiweza kuwa na adabu kwangu na kwa ndugu zangu inatosha sana. Mengine tutavumiliana mbele kwa mbele.Unakuta mtu unapenda malaika halafu wewe mwenyewe ni shetani wapi na wapi ! Kuna vitu vingine inabdi kuvumilia tu kupata 100% ni ngumu sana yaani bahati sana, halafu unakuta mtu anachagua wakati yeye mwenyewe tabia zake mbaya Mungu atusaidiye
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshaongea mno haihasaidia....kuhusu familia no ninaujauzito tuAise pole sana, sasa mmejaribu kukaa chini na kuongea maana hiyo ni hatari familia mnayo yaani watoto ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu poleni sana, vipi viongozi wa dini nao mliwashirikisha, au wanasaikolojia labda nao, ila hiyo ngumu kwenu jamanKama kuongea tushaongea sana,, tusha shauliwa sana mwishowe wametuchoka tunasukuma Siku ziende tu
Pole sana na niwahuyo huyo baba, muombe Mungu atusaidiye jamani mwambie peke yako hauweziTumeshaongea mno haihasaidia....kuhusu familia no ninaujauzito tu
Ukipendwa kwenye ndoa ni kama unaishi pepo ya dunia. Hata uwe unakoroma usingizini mwenza ataichukulia poa tu. tena ukisafiri ana miss ule mkoromo wako.
Hata uwe unakojoa kitandani, ataongeza budget ya omo na kubadilisha shuka alfajiri huku kimya kimya akimtafuta daktari wa kukutibu.
Makosa tunayofanya ni kumtafuta msichana wa kuvutia na unawaacha wale wanaokupenda kwa upendo huu wa agape.
Wadada wanatafuta handsome, aliyesoma, mwenye kuendesha gari nzuri. Yule Hamis next door ambae angeweza kukinga matapishi yako kwa mkono ukiugua unamuona zobwe.
Dunia ni majanga.
Tabu tupu yani, mie ugonjwa wangu mzigo kiasi tu uwepo,tuhips na awe mwepesi kitandani. Sura wastani tu. Akiweza kuwa na adabu kwangu na kwa ndugu zangu inatosha sana. Mengine tutavumiliana mbele kwa mbele.
kazi kweli kupata 100% kazi sana, hapo nawe jiulize nawe unafiti sio kwa mwenza tu, Jinsia yako yafadhariMm mwenywe npo kweny ilo kundi ila sasa nna Bahat mbaya kama pimbi!!!
Sawa asante nduguPole sana na niwahuyo huyo baba, muombe Mungu atusaidiye jamani mwambie peke yako hauwezi
Sent using Jamii Forums mobile app