Raha ya ndoa upendwe na upendeke

Raha ya ndoa upendwe na upendeke

Tatizo tumeshindwa ku compromise katika mahusiano. Kumpata alie na kila kitu ukitakacho 100% katika mapenzi ni pagumu. Muhimu vile essential viwepo tu, mfano kama unapenda sex umpate anayejua kukupa ukaridhika hata kama sifa zingine unazotaka hana atleast utavumilia.

Tatizo wahuni tunapenda malaika, yani mwanamke awe na shape la uwoya sura na tabasamu la official.lynn halafu tabia za jackline mengi. You will never get all stuffs in the same package mzae!

Lazma tukubali kwamba mwanamke mzuri ila utaishi na choyo chake, uswahili wake ama asie na akili za kuwaza maisha ya baadae, mjeuri, beki hazikabi. Compromising matters.
Hahahahaa,. Nimechekaa eti,lol..hivi mwanamke wa hivyo unampata wapii?au mwanaume aliyekamilika kwa kila eneo unampata wapi??aiseee naona kuna watu wanavyopata tabu sanaa kutafuta malaika duniani....
 
Shauri yako jifanye uoni..! Nimekutumia pm hazifiki zinashia gatini nakurudi kuniambia umefunga gate kwa kufuri.
Ngoja nije mm basi...nisije pishana na bahati jomonii...akina hamis next door wachache saana,..nakuja
 
Dah... Huu utaalam sina....hivi kuna tofauti kati ya kupenda na ku "care" ?
 
Hahahahaa,. Nimechekaa eti,lol..hivi mwanamke wa hivyo unampata wapii?au mwanaume aliyekamilika kwa kila eneo unampata wapi??aiseee naona kuna watu wanavyopata tabu sanaa kutafuta malaika duniani....
Ndio tabu ilipo, people are very mean nowdays,,,very chosey. Ila wengi wanaishiaga kupata koroma.
 
Ni kweli kabisaa,na ndio maana hata ndoa za siku hizi zina changamoto mnoo,.watu wanajikuta wameangukia makoroma kweli kweli,.aiseee tuweni na kiasi.
Ifike wakati tuthamini moyo na upendo wa mtu tu. Inatosha kuondosha mapungufu mengine kabisa. Swala la ndoa kwa mabinti limekuwa kama ku win lottery ticket, unakuta demu anacheza kama ana wazimu yani kisa tu kavalishwa pete. Huwa nashangaa!!!

Deep down unakuja gundua ni kama matambo kwa rafiki zake mwanamke.Unaeza kuta hata mzee baba hupendwi!
 
Ifike wakati tuthamini moyo na upendo wa mtu tu. Inatosha kuondosha mapungufu mengine kabisa. Swala la ndoa kwa mabinti limekuwa kama ku win lottery ticket, unakuta demu anacheza kama ana wazimu yani kisa tu kavalishwa pete. Huwa nashangaa!!!

Deep down unakuja gundua ni kama matambo kwa rafiki zake mwanamke.
ajabu gani hii...sijui huwa hatujui kuwa kuna maisha mengine tena mapyaaa zaidi ya pete,sherehe za arusi,gauni jeupe/suti,makeups n.k...aiseee tunahitaji kukombolewa upya ama la vilio na kusaga meno kwenye mahusiano na ndoa havitakoma,..

Lazima kama binadamu tufike mahali tuchukuliane madhaifu yetu tukijua hakuna kikamilifu chini ya jua hili,.
 
Back
Top Bottom