Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,171
- 2,984
Mkuu vipi??????????
Mkuu vipi??????????
Ndiyo,katika yeye atupae nguvu..Mimi na wewe?
unajibu adi raahaNdiyo,katika yeye atupae nguvu..
haifai mkuu
Tatizo tumeshindwa ku compromise katika mahusiano. Kumpata alie na kila kitu ukitakacho 100% katika mapenzi ni pagumu. Muhimu vile essential viwepo tu, mfano kama unapenda sex umpate anayejua kukupa ukaridhika hata kama sifa zingine unazotaka hana atleast utavumilia.Basi tunalijuaga hilo ke anampenda me kuzidi lakini akiangalia mmm sio type yangu anatafuta wapaka carorite
nakumuacha mwenye mapenzi ya kweli
Pia kadhalika me anampenda ke vizuri sana ila ke naye akitizama chogo daa![]()
![]()
huku anataka wanyoa kiduku na wapaka poda sasa mwisho wake ni majanga tupu na vilio visivyoisha
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
ilaukishuka haupandi tena mkuu
sure vipi private iko wazi?em hukoo...
Unakuta mtu unapenda malaika halafu wewe mwenyewe ni shetani wapi na wapi ! Kuna vitu vingine inabdi kuvumilia tu kupata 100% ni ngumu sana yaani bahati sana, halafu unakuta mtu anachagua wakati yeye mwenyewe tabia zake mbaya Mungu atusaidiyeTatizo tumeshindwa ku compromise katika mahusiano. Kumpata alie na kila kitu ukitakacho 100% katika mapenzi ni pagumu. Muhimu vile essential viwepo tu, mfano kama unapenda sex umpate anayejua kukupa ukaridhika hata kama sifa zingine unazotaka hana atleast utavumilia.
Tatizo wahuni tunapenda malaika, yani mwanamke awe na shape la uwoya sura na tabasamu la official.lynn halafu tabia za jackline mengi. You will never get all stuffs in the same package mzae!
Lazma tukubali kwamba mwanamke mzuri ila utaishi na choyo chake, uswahili wake ama asie na akili za kuwaza maisha ya baadae, mjeuri, beki hazikabi. Compromising matters.
Nenda kahakikishe...sure vipi private iko wazi?

Tatizo ndio hilo sasa ukiangukia pua na kuchagua koroma ni kupambana nalo hakuna namnaila
ilaukishuka haupandi tena mkuu
umetubania sioNenda kahakikishe...![]()
Usijaliiii....ntakutembelea mm..umetubania sio
wakati mnaoana ilikuwajeDue!!! mi nimeolewa ila jamaa hanipendi wala Mimi simkubali saana sijui tu itakua ndoa gani Mungu asaidie tu
Karibu sasa hivi nakusubiriUsijaliiii....ntakutembelea mm..
Aiseee...inakuwaje mnaoana wakati hampendani???makubwa hayaaDue!!! mi nimeolewa ila jamaa hanipendi wala Mimi simkubali saana sijui tu itakua ndoa gani Mungu asaidie tu