Raha ya ndoa upendwe na upendeke

Raha ya ndoa upendwe na upendeke

Wengi tunatamani tu kwa muonekano wa nje,bila kujua ipo siku mmojawapo anaweza kuwa hoi kitandani akihitaji msaada;na kitakachofanya kazi hapo ni utu tu.
 
Mlikutana kila mtu akiwa na stress za kutendwa alikotoka ndio maana mkaoana tu bila kupendana
No mwenzangu alikuja kwangu kwa kigezo ninakazi so tunaweza saidiana kuhudumia kwao mi sikujua nikampenda tabia zake zimefanya namchukia ...kuachana tunashindwa basi tupo tu kila mmoja anatafuta furaha kivyake
 
No mwenzangu alikuja kwangu kwa kigezo ninakazi so tunaweza saidiana kuhudumia kwao mi sikujua nikampenda tabia zake zimefanya namchukia ...kuachana tunashindwa basi tupo tu kila mmoja anatafuta furaha kivyake
Daah mbaya saana aseee pole lakini usikate tamaa kihivyo mnaeza kuja kuuana humo ndani jaribu kumuweka karibu zungumzeni muyamalize msisusane ndoa haisuswi
 
No mwenzangu alikuja kwangu kwa kigezo ninakazi so tunaweza saidiana kuhudumia kwao mi sikujua nikampenda tabia zake zimefanya namchukia ...kuachana tunashindwa basi tupo tu kila mmoja anatafuta furaha kivyake
Aise pole sana, sasa mmejaribu kukaa chini na kuongea maana hiyo ni hatari familia mnayo yaani watoto ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom