Anakuhamasisha umpende mwanaweAisee mimi miaka miwili nimeona ndoa HELL,
Mama mkwe,
Mchana kutwa,usiku,simu tu mama mkwe.
Mwambie Mungu akupe jibu kama ni mpango wake basi awape amani kamaSawa asante ndugu
Hapo sasa wewe wapenda mayai mwenzio samaki sijui mtachanganya humoShida ni kwamba umpendae anamuwaza mwengine kabisa.
Utasikia tunasogeza siku zisonge mbeleTatizo ni kumjua huyo akupendae kwa dhati maana moyo wa mtu ni kichaka. Na siku hizi kila mtu ni msanii, ataigiza kukupenda kumbe hana lolote
Sana kwakweliKweli kabisa yale maisha ya kuanza kununua pasi, sahani na vijiko pamoja yana raha yake.
Haaa haaa ningekuwepo ningecheka kweli huyo mdada na kazi aliendelea kweli,Kuna dada alifungua duka, mdada wa mujini maisha ana yamudu kidogo kidogo lakini mume hana. Aliajiri mtu wa kumuuzia duka, dada aliyeajiriwa mchumba wake alikuwa masomoni Ulaya.
Yule mwenye duka alifikiria itakuwaje huyu ana mchumba Ulaya wakati mimi sina mtu.
Siku mchumba anarudi, yule muuza duka aliomba ruhusa ili ampokee mchumba wake. Boss alimwambia anawakatibisha chakula yeye na mchumba wake weekend.
Wamefika kwa boss, kumbe boss anammendea yule mchumba wa Ulaya. Baada ya vi wine na vi brandy akawa anajitongozesha huku akimtuma yule binti. Mchumba alimpa za uso boss.
Yaani ndiyo ilivyo lakini kama hampendani nikulaumiana tuSaaana,mnayamaliza kabla hakujakucha,.nimeshangaa sana aiseee,.
Haaaa haaaa Madam Mwajuma yaukweli hayoWanaosisitiza upendo usiangalie mali na sura wao wameoa warembo,wasomi na wana chura au wameolewa na wenye mkwanja na handsome.
kwa wenye mikwanja nazani mnaweza anza chini mpaka mkawa nazo, ila hivyo vingine wangu kuna kaukweli lakini sio sana, hata msomi sizani sana
Nawale wanataka kuoa bikira wakati yeye ameshazurura na ke kibao sasa huyu asijua sijui inakuwaje auHahahahaa,. Nimechekaa eti,lol..hivi mwanamke wa hivyo unampata wapii?au mwanaume aliyekamilika kwa kila eneo unampata wapi??aiseee naona kuna watu wanavyopata tabu sanaa kutafuta malaika duniani....
Kiki za mtaani baba uwe na mkwanja basi, tuponywe kwakweliIfike wakati tuthamini moyo na upendo wa mtu tu. Inatosha kuondosha mapungufu mengine kabisa. Swala la ndoa kwa mabinti limekuwa kama ku win lottery ticket, unakuta demu anacheza kama ana wazimu yani kisa tu kavalishwa pete. Huwa nashangaa!!!
Deep down unakuja gundua ni kama matambo kwa rafiki zake mwanamke.Unaeza kuta hata mzee baba hupendwi!
Tuwahurumie tuu,. Hawajui wanachotaka,.Nawale wanataka kuoa bikira wakati yeye ameshazurura na ke kibao sasa huyu asijua sijui inakuwaje au
ndiyo yale unamuweka pambo kisha yeye anaenda starehe na mkahaba huko nje au inakuwaje yaani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli tuwahurumie ndugu yanguTuwahurumie tuu,. Hawajui wanachotaka,.
Mama ushauriMwambie Mungu akupe jibu kama ni mpango wake basi awape amani kama
sio basi njia ipatikane ya kutegua hilo fumbo
Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani ukisema hivyo na ukilinganisha na yanayoendelea sasa upendo wa Agape ni nadra sana kukutana nao. Unakuta kijana hana hata buku mfukoni ila anakupenda hadi unajiuliza sasa mie huyu tutafikishana wapi?!
Sent using Jamii Forums mobile app





