atayajulia wapi? na si vyema ajue...
copy kwa all Arusha wing + Tanga wing....
mkubwa we acha tu..
si nimepoteza yale ma portfolio yote?
nilitaka kutoa somo kwa wana arusha...
ngoja nichonge na Kokutona kwanza..kachukua baadhi ya memory kwenye ubongo wangu..
Kumbe hua ukitekenywa vizuri , unatekenyekaga!
Nway ni mida gani uipendayo mtekenyaji akutekenye?
Kafanye experiment basi alafu utuletee jibu!