atayajulia wapi? na si vyema ajue...
copy kwa all Arusha wing + Tanga wing....
Hilo cheko bi dada....heeee
mkeo anayajua hayo
nasubiri jibu lake hapaNdio kusema unaongeza wa pili ama?
upo mdada wa singida? niambie nasikia ziwa singidani limekauka..[/QUOTE
wewe acha hizo bana MuUNYU (CHUMVI)Tutapatia wapi wenzio maanake huku tunatumia fresh from ziwa singidan and kindai aaaaah samaki wake huwa lombe ndo tamu
aisee sijui nikujibuje ujue..
Amekonogesha au umenogewa?!