Raha na karaha za kuoa mwanamke mzuri

Raha na karaha za kuoa mwanamke mzuri

Habari za mida hii wadau,nimeona nije na uzi huu ili wale wenzangu waliobahatika kuoa wake wazuri waje na shuhuda zao pia.

Namshukuru mwenyez mungu mm ni Kati ya wale ambao hatukuwa na uvivu WA kuchagua au udomo zege WA kuwaingia warembo na hatimae nilichagua mmoja wao kuwa mwenzi wangu WA maisha.

Ni mtoto flan hv aliyejaaliwa sura na umbo zur na rangi ya choccolate,uzur huu unachangiwa pia na kuwa na asili ya Rwanda upande WA babu mzaa baba.

Pamoja na raha na faraja na pongez ambazo huwa napata kutokana na urembo WA mke wangu hasa ndugu na marafiki wanapomuona iwe moja kwa moja au ktk picha nazopost bado Kuna usumbufu mkubwa.

Usumbufu huu unatoka kwa vidume vingi visivyo na staha kwa Mali za watu,wapo watu wengi wanaojaribu kumtongoza kwa inbox za Facebook,whasap na msg za kawaida,wapo pia wale aliokuwa nao ktk mahusiano huko nyuma ambao hawaishi kuomba kupasha kiporo

Hii Hali kwakwel imekuwa kero Sana na imefikia hatua inaanza kunikosesha confidence kwamba itakuwaje iwapo Kati ya Hawa vidume wanaomsalandia atamvutia je hatochepuka?kweli kuoa mwanamke mzuri raha Lakin ni karaha pia.

Karibuni wadau mliobahatika kuoa warembo mtoe shuhuda zenu pia.
Mi hili linanipa shida sana mamsap yupo so attractive sasa kwa juhudi zangu na najikuta sipendi hata kuona mtu nisiemjua tena kidume anaongea na mrembo wangu.

Ni mpenzi wa social net. Wengi wanakuja kwa gia za kirafiki huko facebook ila wanaishiaga kuomba namba na hatimae kumtongoza na nishaongea sana kuhusu hilo ila bibie anaonekana anapenda zile attention za kipuuzi nikaona sina sababu ya kuingilia uhuru wake ingawa nakereka.I've let her be...

Sikupenda hata ajiunge huko facebook ila toka ameitumia hataki kuiacha nmeamua kukaa kimya sasa maana ile hali ya ku monitor conversations zake na hao watu inapelekeaga tugombane kabisa. Mwishowe akaanza kuzifuta chats yani maana anajua nitauliza.

Najiuliza tu how can a woman be friends na wanaume wanaomtongoza then haoneshi msimamo wake mapema kuwa yupo taken, like anawaonea aibu kuwachana wtf! Ingawa hajawahi nisaliti im monitoring her moves toka kitambo ila hali yake ya kuwa exposed na washenzi wa fb inanikoseshaga raha at the end ukifikiria jinsi akili za KE yeyote zinavyoweza kurubuniwa kirahisi akavuliwa pichu.

Nilichoamua kufanya ni kutouliza natembeza block za kimya kimya tu. Whatsapp nabadilisha namba naweka za watu wangu naowajua kwa jina lile lile alosevu akianza chat nao hata kwa siri amani tu. Maana ni za washkaji zangu naowaamini na yeye shemej yao!
Ha ha ha ha
 
Mwanamke mzuri anakuwa credited kwenye papuchi yake mkuu sio sura!Kuna demu nilimpata UDOM kwa sura nzuri sana lkn ana uke mpana sana!
Lkn kuna kadada hapa mtaani Kabaya kabaya tu lkn kana uchi unabana sana aisee!
Akija wa UDOM na huyu wa mtaani namfukuza wa UDOM
 
Hakika kukiw na viashilia vya kutongozw au kuchepuka kwa mwanamke inaumiza sana tena ukute huw anakupa yote kwenye na kuikatikia kwenye 6x6 walai kama sio kujerui waweza ua mtu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kumlinda mwanamke asichepuke ni sawa na kuilinda bahari ya hindi watu wasiogelee mkuu... We una unalinda osterbay watu wanadiba kigamboni huko.
Nakushauri tu badili mindset yako juu ya kuhandle hili swala. Maana utatumia nguvu kubwa na bado unaweza usifanikiwe kama mkeo hajaamua kutochepuka.
Hapo labda ufanye maneuver ya kutochokwa, asikuzoee wewe ni mtu wa vibes gani kwenye sex life na normal life, fanya mambo yanayomchanganya asiishie kuwaza kukuchoka, mpe show za kibabe hasa, hapo sasa utakua ni mzigo mwingine wa kuishi maisha yako kumtreat well. Hata ivo bado haina guarantee maana wakati mwingine mwanamke hufanya mambo yanamshangaza sana mwanaume.
Well said
 
Mkuu kupigiwa ni kawaida coz não wanatafuta adventure flani na hela kuna mijitu inahonga hadi milioni tano ili ikuonje tu so cha kufanya we potezea na simu yake usiguse we assume hagongwi utakua na amani
Ushauri mzur ila utekelezaj wake ni changamoto
 
Wanadai ukimchunguza bata sana unaweza kunyuti kumla.

Just believe you deserve the best, so it's yo right aNd well deserved to 've yo very own heaven sent in the universe.
Well said,thank u
 
hivi Tafseri ya mwanamke mzuri ni nini ?
maana nachojua mie kila mwanamke kwa upande wa anayemvutia
 
Back
Top Bottom