Raha na karaha za kuoa mwanamke mzuri

Raha na karaha za kuoa mwanamke mzuri

d75a57dc568d6e8fc624f905963187e9.jpg
Bhebhe hii haho lazima bhakanye gukee ulu unchala mujini ung'wene wojimijaga gete.
 
Bhebhe hii haho lazima bhakanye gukee ulu unchala mujini ung'wene wojimijaga gete.
Likima lyagwenuko ma Aflika ga Dakama nkoyi. Nagalibonaga mu Instagram guke. [emoji23][emoji23][emoji23]

Lililyawiza gete. Ulugiki lyugukalibisha haginena nkoyi bujikupe ugusengemukaga!
 
Pole sana...
Inasikitisha na infurahisha sana..

....Kiukweli ni challenge sana kuwa na mwanamke mzuri, mrembo Nayevutia kila mwanamke...
...
Unapromote usagaji mkuu? Ulitaka kuandika ni challenge kua na mwanaume anayevutia kila mwanamke?
 
Mkuu kupigiwa ni kawaida coz não wanatafuta adventure flani na hela kuna mijitu inahonga hadi milioni tano ili ikuonje tu so cha kufanya we potezea na simu yake usiguse we assume hagongwi utakua na amani
kweli
 
Kwa kweli broo,umenigusa sana! wanaume wenzangu punguzeni hiyo kitu itawapeleka kuzimu,kwa kweli mi sikubali huyu mtoto anavyoniingiza Hasara Ntamweka mtu mzimamzima kwenye Jaba!
 
Ni mkeo kweli huyu mkuu?, kaliwa sana huyu mfuatilie
 
hawaaminiki hao viumbe
Huyu jamaa sina shaka huyo mahodaw ndio atakuwa demu wake wa kwanza kumkubalia tongozo. I have a feeling msela ni bonge za domo zege in a real life!
Huwezi kum praise mwanamke kiasi hicho, atakudharau tu at some point in time!
 
Acha kufatilia hayo mambo hayakuhusu na akitongozwa pia usitake kujua na wala yeye asikwambie,
Wewe hakikisha kitandani anaridhika haswa na ongeza bidii kutafuta hela!
 
Back
Top Bottom