khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,215
- 1,521
Duuuuuh
Mwanamke /mwanaume mzuri ni yule mwenye kumcha Allah siku zote.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakuwa na akili inayofanana na avatar yako ndio maana hujaelewa.
ww si unachaguaa?Mnaongea tu!!! Mbona wabaya tupo hapa na bado hamtuoi!!! Mnafuata haohao wazuri
Sichagui ila naogopa kukimbiwa stendi!!!ww si unachaguaa?
hawana tofauti na shamba la viazi kwenye msitu wenye nyani😀😀😀Habari za mida hii wadau,nimeona nije na uzi huu ili wale wenzangu waliobahatika kuoa wake wazuri waje na shuhuda zao pia.
Namshukuru mwenyez mungu mm ni Kati ya wale ambao hatukuwa na uvivu WA kuchagua au udomo zege WA kuwaingia warembo na hatimae nilichagua mmoja wao kuwa mwenzi wangu WA maisha.
Ni mtoto flan hv aliyejaaliwa sura na umbo zur na rangi ya choccolate,uzur huu unachangiwa pia na kuwa na asili ya Rwanda upande WA babu mzaa baba.
Pamoja na raha na faraja na pongez ambazo huwa napata kutokana na urembo WA mke wangu hasa ndugu na marafiki wanapomuona iwe moja kwa moja au ktk picha nazopost bado Kuna usumbufu mkubwa.
Usumbufu huu unatoka kwa vidume vingi visivyo na staha kwa Mali za watu,wapo watu wengi wanaojaribu kumtongoza kwa inbox za Facebook,whasap na msg za kawaida,wapo pia wale aliokuwa nao ktk mahusiano huko nyuma ambao hawaishi kuomba kupasha kiporo
Hii Hali kwakwel imekuwa kero Sana na imefikia hatua inaanza kunikosesha confidence kwamba itakuwaje iwapo Kati ya Hawa vidume wanaomsalandia atamvutia je hatochepuka?kweli kuoa mwanamke mzuri raha Lakin ni karaha pia.
Karibuni wadau mliobahatika kuoa warembo mtoe shuhuda zenu pia.
safi sana ndio maana hua nikisoma karma au golden rule hua nachukulia poa tu ilimradi asionionyeshe anagongwa afanye kwa kificho kama mie ninavofanyaMkuu kupigiwa ni kawaida coz não wanatafuta adventure flani na hela kuna mijitu inahonga hadi milioni tano ili ikuonje tu so cha kufanya we potezea na simu yake usiguse we assume hagongwi utakua na amani
Njoo pmMnaongea tu!!! Mbona wabaya tupo hapa na bado hamtuoi!!! Mnafuata haohao wazuri
Njoo pmSichagui ila naogopa kukimbiwa stendi!!!
Nimekupm kimyaaaMnaongea tu!!! Mbona wabaya tupo hapa na bado hamtuoi!!! Mnafuata haohao wazuri