Mheshimiwa Mbunge wa jimbo la Tabora Mjini (ccm) Aden Rage ameamliwa kulipa faini ya kiasi cha shilingi za kitanzania,150,000/= na Tume ya maadili ya uchaguzi mdogo wa Igunga, kwa kosa la kupanda jukwaani huku akiwa na Bastola kinyume cha sheria, ilihali yeye sio askari polisi.
Source: Radio one.