Hii tumeshaiona kwenye mabasi ya Mwendo kasi, faini za traffic na za mabasi. Wanaharibu mitandao makusudi ili usiweze kulipa faini kwa mitandao au kununua ticket za card ili tu ukienda kulipa kwa pesa wanabaki nayo halafu haiendi serikalini.
Tatizo kubwa watu wanafahamu hili na wananyamaza!!!
Tatizo kubwa watu wanafahamu hili na wananyamaza!!!