Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Tabora "Aden Rage" ametozwa faini ya sh. Laki moja kwa kosa la kupanda na silaa jukwaani siku chache zilizopita, hayo yamesemwa na mwenyekiti wa kamati ya maadili huko Igunga bw. Protas Magayane. Lakini pia mwenyekiti huyo amesema kamati yake imetoa karipio kali la maandishi dhidi ya CDM kuhusu vurugu ikidai kupokea malalamiko toka chama cha mapinduzi CCM
Source: TBC Habari saa 2, 28/09/2011
Yuko wapi kilaza Nape alieandika kwenye ukurasa wake wa fcbk kuwa hakuna ttzo kwa mtu kupanda na bastola jukwaani,kweli ccm masaburi yao haifanyi kazi kabisa vilaza tupu
Kufutiwa umiliki wa silaha.hilo ni kosa la jinai na mahakamani halina faini bali ni kifungo si chini ya miezi 6.amehatarisha usalama wa raia
Nepi hana jipya alishawahi andika kwamva CDM wanampeleka M/KITI kwenye uchaguzi wa igunga,sasa anaona aibu cos magamba wamepeleka baraza la mawaziri huko igunga,nepi anatakiwa afikili kabla ya kutenda au kusemaYuko wapi kilaza Nape alieandika kwenye ukurasa wake wa fcbk kuwa hakuna ttzo kwa mtu kupanda na bastola jukwaani,kweli ccm masaburi yao haifanyi kazi kabisa vilaza tupu
Ingesomeka hivi je? rejao, mwita25 na ritz wametozwa faini ya laki moja kila mmoja ili wasipigwe ban na matola, crashwise na feedback wamepewa karipio kali na PAW.
Angelikuwa mikononi mwa PAW wangekula ban ya kutogombea chaguzi tatu
Kamati ya maadili imempiga faini tsh 100000/ kwa kosa la kwenda na silaha kwenye mikutano ya kampeni
Kama ni laki tu J'1 nitatia timu na gobole langu kwenye mkutano wao wa kufunga kampeni najua siku hiyo green gadi lazima aanzishe valangati wakinishika nawapa laki mbili moja ya faini na nyingine ya usumbufu.