MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,321
- 6,375
Aisee,
jamaa wanatania maana adhabu ya ukiukwaji namna ile ni mgombea kuondolewa ktk kinyang'anyiro.
Hapa tujadili namna NEC inavyovunja sheria na kanuni ilizojiwekea.
Angelikuwa mikononi mwa PAW wangekula ban ya kutogombea chaguzi tatu
Tuwaombe watalaamu wetu watujuze kuhusu hili maana liko wazi kabisa!