nobody knows but me
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 525
- 362
Rafiki yake akikaa sawa ndio ataandika vzuri....sahvi kachanganyikiwa chezea rafiki wa shida na raha wewe?! Kuwapata sio rahisi .....kwahivyo mpatie tuu ushauri mkuu.....okoa jahazisasa si uwandike lugha moja kama kiswahili andika kwa kiswahil kama english andika kwa lugha iyo ila unachanganya kama nini
alaf nyie wasomi wa siku hizi ndo mana magu hawapi ajira pumbavuu