Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,307
Ka ulimi saa nyingine kanaponza wengi,natumain watanisamehe
Pole best kulikoni nawewe lol! Tutakoma sasa!
Pole best kulikoni nawewe lol! Tutakoma sasa!
Yaani we acha tu mpaka nilishaanza kumdekea yani rafiki tu ila the way alivokua ananijali nikiwaza mpaka nahisi kuumwa!Ila kuna wanaume ambao wanajua maana ya urafiki bwana, wanajali mpaka unaweza hisi umepata baba wa pili.
Pole mwaya, mpe muda muombe msamaha, kiri kosa lako, jishushe na onyesha kujutia ulofanya. Kama nawe ulikuwa muhimu kwake basi atakurudisha tena kwenye maisha yake
Ng'ombe hazeeki maini bhana... we veepee???Mh babu mambo gani tena hayo??? Nahuo uzee still..!!!!!
Kuomba msamaha weeeeeeee, kumwambia nimemmis weeeeeeee,,, kumtumia clip za kuonesha majuto weeeeeeee nanyinginezo.. Ila wapiiii! Enhee nipe mbinu nyingine nzuriuyo atakuwa na lake swaiba au ujamsomesha vizur si unaelewa wanafunzi wa kizazi hiki
embu niambie umetumia mbinu gani adi asielewe ilo somo
Sawaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Santeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Napenda nifie kiunoni mwako... achana na huyo anayesusia warembo, njoo kwangu. SitakuangushaAngalia usije fia kiunoni mwa mtu ohoo! Wazee hawana nguvu shauri yako
Kuomba msamaha weeeeeeee, kumwambia nimemmis weeeeeeee,,, kumtumia clip za kuonesha majuto weeeeeeee nanyinginezo.. Ila wapiiii! Enhee nipe mbinu nyingine nzuri
Ulimuudhi nini kikubwa hivyo jamani, hebu mpe muda na yeye akumiss kidogo!! Atarudisha moyo nyumaYaani we acha tu mpaka nilishaanza kumdekea yani rafiki tu ila the way alivokua ananijali nikiwaza mpaka nahisi kuumwa!