Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Status
Not open for further replies.
Kama ni Mara ya kwanza kufanya hivo muombe msamaha naamini atakusamehe....ila usirudie tena kufanya hivo
Sawa nitajitahidi kama akirudi lakini make nae kazinda mazima
 
Ondoa wasiwasi pia shukuru Mungu maana umpata rafiki mwingine ambae ni mimi hapa
 
pole uwo ndo ukubw dada

thats fate you have to believe on it

ila kama unakiri ni mtu muhimu kwako na unakiri pia kama wewe ndo umezingua just mfate na myazungumze mana ww ndo umezingua......amin mambo yatakuwa shkopa
Tatizo haelewi Somo kabisaa.. Sijui anataka mpaka nitembee uchi!!!?
 
Orayt... nimekusamehe na kusahau. Niahidi hutarudia tena...
Nishaahidi zamani sana.. Ukiweka mambo moyoni mwishowe yajazane mengine yakose pa kukaa. Moyo wenyewe mdogo si utapasuka ufe sasa!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom