Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Status
Not open for further replies.
Ubaya unakuja hapa ; mpaka akirudisha moyo mimi nitakua nishaachana nae na nishaanza kuacha kumbembelezaaa mwanaume wakati Nikamwambia rafiki tu
Mambo mazuri huwa hayataki haraka dear, yani mm nkigombana na mtu na makosa yakawa yangu uwa naomba msamaha alafu nampa nafasi Hyo mtu anachuja umuhimu wangu kwenye maisha yake alafu baada ya muda hata wiki mbili hvi namrudia tena kwa kuomba msamaha hapo atanisamehe kwa roho moja sababu na yeye anakua anamiss vitu vyako (moments)
 
Mambo mazuri huwa hayataki haraka dear, yani mm nkigombana na mtu na makosa yakawa yangu uwa naomba msamaha alafu nampa nafasi Hyo mtu anachuja umuhimu wangu kwenye maisha yake alafu baada ya muda hata wiki mbili hvi namrudia tena kwa kuomba msamaha hapo atanisamehe kwa roho moja sababu na yeye anakua anamiss vitu vyako (moments)
Mhmmhmhmhmhmhmhmhmhmhmh naelekea kugive up!
 
Habari ya jumatatu!
Jamani kuna rafiki yangu mmoja waukwee ambae nimemvurugaaa mwenzenu, nimemtibua kiasi kwamba naona kama kazira kabisaa mpaka nakosa raha.
Bado namkumbuka sana nakumbuka ushauri wake na mambo yake mengi mengi tu. I don't know what to do with this friend of mine coz I really missed him so much. I love and misses the time we had together. I miss every moment we shared.
He was a teacher mentor and a counselor to me. Amenifundisha kunishauri na kunielekeza mambo mengi sana. Sasa nimemuudhi na kakasirika hakuna mfano! Yani kakasirika mpaka naogopa!
He was not just a friend, a friend in deed. He hold my hands in every difficult situation in have encountered. Ni mtu wa muhimu sana na mwenye mchango mzuri mkubwa na wenye msingi katika maisha.
What kills me nikwamba ; we were so crazy and funny. He makes me laugh and smile always! mpaka nilijikuta nakua mwenye furaha na amani tele.
Kitu cha kuwa makini members think before you act wajameni mdomo ushaponza kichwa huku. Mwenzenu ndo nishampoteza rafiki mzuri ivo.
Though alikua rafiki ila naumia sana mwenzenu.
What should I do?? Help me out members!
Rafiki, kama unataka kuandika kiswahili iwe kiswahili, ikiwa unataka kuandika kiingereza iwe kiingereza maana wengine hatuja soma shida tupu.
 
sasa si uwandike lugha moja kama kiswahili andika kwa kiswahil kama english andika kwa lugha iyo ila unachanganya kama nini

alaf nyie wasomi wa siku hizi ndo mana magu hawapi ajira pumbavuu
Magu mwenyewe anachanganya, au hujaangalia taarifa ya habari ya leo wakati akizindua uwanja.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom