R.I.P Neema

R.I.P Neema

Pole sana mkuu.R.I.P Neema.Mbele yako,nyuma yetu.Binadamu tusaidiane kwa hali na mali,kila inapowezekana.KWANI MAPITO TUMEUMBIWA SOTE.ALUTA CONTINUA!
 
Mwengine akiwa anapokea mshahara kama M hivi. Anajiona kama ataishi milele na atataka kukutawala kwa kila kitu. Wengine wamefukuzwa kazi kwasbb ya roho mbaya walizonazo mabos wao.
YOTE KWA YOTE IPO SIKU TUTAKUFA
Hilo ndilo jibu hakika tutakufa,hata huyo myesaji wa watu wala hakuna siku atapewa taji ya kutesa watu zaidi ya nani hakika utakufa MUNGU hakutuleta kwa maksudi ya kujiona ni bora kuliko wengine bali kuishi ktk haki na kweli tena kwa uhuru wa kukosoana na kuelezana ukweli kitu limekuwa na roho mbaya nafuu ya Hitra mtu gani huyu eti msema kweli mpenzi wa MUNGU huku lina vikosi vya kuteka watu kuua na kufunga watu bila sababu lkn hakuna kitakachobaki zaidi ya mauti na majibu yapo lkn pia hapa hapa dunia pia kunamajibu kwa yule mrevi anayemfuata mara ya pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom