Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
Kaka Mungu akubariki daima kiukweli nimependa kuona jinsi gani ulionyesha utu mwingine angeanza zarau au angemjibu vibaya dahhhh nandoma ulipoto msaada kwake naulitoa KWA moyo Mungu alikufanyia miujiza ukapata Kazi nzuri zaid yauliokuwa unafanya hii ni kwa wema uliomtendea nduguyo pia huenda Mungu pia alitaka kupima imani yako kupitia Neema nawewe ulionyesha utii Na kujali hakika Mungu alikubarik toka siku unamsaidia Na siku ulioikataa ile ela hospital kuonyesha ulijali utu kuliko pesa Na hata siku unamsaidia ya dawa Mungu akubariki ,amekubariki Na kukuzidishia kazana moyo huo huo usiache kutoa sadaka kumkumbuka Mungu ubarikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app