RIP Dr Remmy,
Kwetu sisi tuliomwana akipanda hadi kilele cha mafanikio, hatutamsahau kamw huyu gwiji wa muziki. Ngoja nijaribu kukubuka baadhi ya nyimbo zake,
1. Narudi nyumbai...Ft Cosmas Chidumule
2. Hamisa..mtoto wa kigogo
3. Mwanza makoroboi (sina hakika kama ndio title yake)
5. Kilio cha samaki
6. Ukichua kucheza (sina hakika kama ndio title)
7.
8.
9.............
The guy was really talented...Nenda baba, kawasalimie wote waliotutangulia mbele za haki. Pia mshukuru sana Mungu kwani alikupa nafasi adimu ya kutubu dhambi zako ukiwa hapa duniani. Wengi huwa hawapewi hiyo nafasi..
Bwana alitoa, bwana ametwaa...!!