Kwetu sisi tuliomwana akipanda hadi kilele cha mafanikio, hatutamsahau kamw huyu gwiji wa muziki. Ngoja nijaribu kukubuka baadhi ya nyimbo zake,
1. Narudi nyumbai...Ft Cosmas Chidumule
2. Amisa..mtoto wa kigogo
3. Mwanza makoroboi (sina hakika kama ndio title yake)
5. Kilio cha samaki
6. Ukijua kucheza (sina hakika kama ndio title)
7. Dole
8. Fadhili ni utumwa
9. Nalialia mwana
10. Penzi lawaua n.k .......
The guy was really talented...Nenda baba, kawasalimie wote waliotutangulia mbele za haki. Pia mshukuru sana Mungu kwani alikupa nafasi adimu ya kutubu dhambi zako ukiwa hapa duniani. Wengi huwa hawapewi hiyo nafasi..
RIP DR Remmy mara ya mwisho akihojiwa akiwa wodini alisema akitoka atawatungia wimbo wauguzi na madr wa muhimbili kwa kushindwa kuhudumia wagonjwa vizuri , israeli akumsubiri atimize lengo lake.
mbona mnapenda kuwasema watu vibaya......umempima remmy ukaambiwa alikuwa na ngoma .........wewe umepima??
kwa taarifa yenu tu ni kuwa remmy hakuwa na ngoma......hiili alishawahi kuwadhibiitishia watu miaka ya nyuma...alikuwa anasumbuliwa na kiharusi....na complications nyingine...
Ni kati ya wanamuziki ambao wametangaza nchi kimataifa na muziki wake hauchuji ....
dah RIP DR REMMY. jana tu nilikuwa nasikiliza kibao chake cha MUME WANGU. the guy was very talented. vibao vyake km siku ya kufa, athumani, mwanangu celina mwanza ooh mwanzaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.