Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Naona Raisi Samia katekeleza ahadi yake ya kushirikisha wapinzani katika serikali yake kwa kumteua Queen Sendiga wa chama kidogo cha upinzani cha Alliance for Democratic Change(ADC) kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa.
Queen Sendiga ndie alikuwa mgombea urais kupitia chama cha ADC katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana(2020) na sijui kama amewahi kutangaza kujiunga na CCM kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli ambapo ilikuwa ni shariti mtu ajiunge na na CCM(aunge mkono juhudi) kabla mtu huyo kupewa uteuzi.
Haya Mama tunaendelea kufutatilia utekelezaji wa ahadi yako hii ili tukupime kama kweli umedhamiria kufanya kazi na wapinzani.
Queen Sendiga ndie alikuwa mgombea urais kupitia chama cha ADC katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana(2020) na sijui kama amewahi kutangaza kujiunga na CCM kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli ambapo ilikuwa ni shariti mtu ajiunge na na CCM(aunge mkono juhudi) kabla mtu huyo kupewa uteuzi.
Haya Mama tunaendelea kufutatilia utekelezaji wa ahadi yako hii ili tukupime kama kweli umedhamiria kufanya kazi na wapinzani.
Uchaguzi 2020 - Queen Sendiga asema atampa Dkt. Magufuli Uwaziri wa Ujenzi endapo atashinda Urais
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Queen Sendiga, amesema akichaguliwa kuwa Rais wa Tanzania, akiunda baraza la mawaziri atampa nafasi Rais John Magufuli, kuwa waziri wa ujenzi. Aidha, baada ya kuapishwa atafanya maboresho...
www.jamiiforums.com